cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Mie mate yanachuruzika tyuuh.
Apana sema nyumba ipo juu kidogo .Ghorofani juu.
Ngoja siku nikupikie yangu hutoichoka
We haya tu😅😅Mchele wenyewe uko wap?! 😀😀
Nilitaka nipite kimya LeoHahahah mbwa anaperuz mtandaoni dah...Kweli ulaya ulaya wakati huku kuna binadamu hata nafasi ya huyo mbwa hawana katika maisha.





















Ni ngumu kwakweli 😂 hapa ndio utaelewa aliyesema bora kuzaliwa mbwa ulaya.Nilitaka nipite kimya Leo
Uvumilivu umenishinda![]()
Njoo sterio ujionee midizi inavyouzwa kienyeji 😁😁😁 ndizi zingine zimeungwa kistadi mikungu ya kufosi ila tunaishi nayo tu!
Ni ngumu kwakwelihapa ndio utaelewa aliyesema bora kuzaliwa mbwa ulaya.










We shall seeNgoja siku nikupikie yangu hutoichoka