Mimi sijui popote zaidi ya chuo na stand.
Hata huko msalato kwenye nyama choma sijawahi Kwenda.
Mipango na St John's nimeenda Mara 1 Napo ilikua kanisani
Mimi mwenyewe sipendi picha, japo nilishatuma moja tangu siku ile ila nikaifuta na kwenye gallery nimefuta picha zangu zote maana storage ya simu yangu nayo si rafiki.