Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,296
mwenye chake😂Hutaki ugomvi na nani tena sasa😆
mwenye chake😂Hutaki ugomvi na nani tena sasa😆
Hongereni sanaa.k.a saut![]()
😋😇
i know you malkia wanguHahaa ulivo mkalili malkia wako sasa![]()
Dah bia zangu pendwa nazikubali Sana kesho tutaoneshana nazo makalithere is beer in heavenView attachment 1689404
usiache huo mwezi wa tatu mkuu...ongeza miez minne
Kunyweni Sana tunkamu mchambuz wa vilevi nchini sijamuona....
Welcome kijana wangukishua sana bloangu
hahahaah kaka...all the best mkuuDah bia zangu pendwa nazikubali Sana kesho tutaoneshana nazo makali
usiache huo mwezi wa tatu mkuu...ongeza miez minne



dah! Saint Anne Hizi kitu Zina alc ngapi?Now its time for guinness smooth!View attachment 1689392
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
tukija kuleta mahari na billdrago nitalewa kabsa uyole.Kunyweni Sana tu
Hesabu itapigwa baadaye.
Hata akiongeza miaka kumi fresh tu.usiache huo mwezi wa tatu mkuu...ongeza miez minne
Leweni sana.tukija kuleta mahari na billdrago nitalewa kabsa uyole.
Hizo hesabu tutapigiana tuKunyweni Sana tu
Hesabu itapigwa baadaye.


Pombe lazima zipigwe nimevumilia siku kumi nimeona najitesa bureee tu kwanza nimekonda kishenz ,pesa zangu halafu nateseka kila mtu ashinde mechi zake![]()








nimecheka sana.......hivi @st annie ile saint anna ulimpelekea?? alisema anataka kuona kulewa kunakuwajekallumbu sisi sio walevi...ni wachangia kodi ili nchi ikue....Leweni sana.
Mimi sipokei watu walevi.
ulivyosema siku ya mwisho nimeshtuka nikajua siku ya kiamaHata akiongeza miaka kumi fresh tu.
Ili siku ya mwisho mje kutoa hesabu vizuri...usinywe nusunusu..ukiamua kunywa basi kunywa kama jamaa hapo,tangu mchana yupo amekesha..hadi shetani akiona anafurahi kichizi yaani.
Hawezi kunywa alikua anatania tu angeishia kuimwaga ,, hii kada Ina wabobezi wake bnanimecheka sana.......hivi @st annie ile saint anna ulimpelekea?? alisema anataka kuona kulewa kunakuwaje

