Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20210123_101056.jpg
 
Upo km rafik angu yaan yeye akiwa anasafishwa hivyo anakua uso wa beberu, utadhan ana ugomvi nao, bas mie huwa nacheka mbavu sina, mwanzon nilijua hapendi ila anajilazimisha, kumbe akaja nambia km wee ulivosema.
Hongera kipendhiiiiiii heshima muhimu.
Si unajua mazoea yakizidi adabu inapotea ee..Ehee..
 
Kunywa pombe sio ulevi,
Kunywa hakuzui mtu kumtumikia mungu,
Sio kila anaekunywa pombe anakua kalewa chakari,
Hela zitaisha bila ata pombe,
Msuko mmoja wa maana wa mwanamke ni zaidi ya cret mbili za a Serengeti lite,
Dunia sio salama ata moshi(magari na n. k) na vyakula vinaharibu afya,
Kwaio kunywa pombe kwa kiasi hakuna shida as long as unakunywa kwa starehe yako na kipimo,
Piga beer kwa kiwango maaalum,
Wanawake ambao hamtaki wapenzi wenu mnywe pombe ni wale ambao hawataki kuwapa alone time wapenzi wao everytime anatak awe nae,
Men do need some space,
Ni hayo tu.
Wanywa pombe ni wabishi kweli
 
Back
Top Bottom