UshindweeeHabari za Saizi ndugu zangu, kama kuna mtu ana shida na PESA aje hapa kwenye ATM za NMB yaani hakuna watu kabisa kweupeee muda huu......!!
Sent using Jamii Forums mobile app



Kulipa kimasihara nikutaka ujue..yani mpka unanitafuna jua mimi mwenyewe nilikuwa nikikutamani sema nilikuwa nasubiri tu unianze.Hii ni hatari sana, napiga marufuku kabisa mtu asiguswe. Kuna mkongo mmoja anawafaidi hatari, halafu wadada wanamsifia eti ana mikono mizuri....nasema hapa wanaliwa kimasihara
Nijichetue anivunjie adabu.nimecheka km mwehu wallah, na wee ulivyo unajichetua kidogo utashangaa anasahau kudai hela ya malipo.
Kwa huo mguu wako Unipe chance ya kukupaka rangi na kusugua miguu lazima nikubake tu hamna namna.Nijichetue anivunjie adabu.
Naweka uso wa mbuzi ukiniona huwezi amini.hawanaga adabu wale ukiwalegwzea wanakukosea adabu hadharani..na mimi na mtu wa kunivunjia heshima ni fasta tu nakubadilikia bila mategemo
Yaani jinsi wanavyoishika shika miguuWaaaahiii watajijua wenyewe kwani hii dunia ni yetu mama![]()
Wale watengeneza kucha

Afadhali mchumba ujifunzeAhaaa nitajifunza kutengeneza kucha!..nitakua nafanya mwenyewe hiyo kazi
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app


Nilikuwa nastuka yaaniUlikaribia kulegea nini S. Anne?![]()










Hata hivyo siendi tena mchumba


Uje Sasa mchumba unitoe hizi kucha nilibandika





Nakusubiri babe

Ndiyo



Siwezi ruhusu hiloOoooh i cant imagine hiyo siku nikikushika i have magic hands
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app








