Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Una bahati sana Anne, tatizo hao jamaa watavumilia hadi pete kweli
Analyse alikuja pia humu
Yule ulikuwa unafwatilia movie yetu kwenye ule uzi mwingine.

Nikasema tu ungekuwepo hapa ungekaa makini kuangalia kinachotokea
 

Kibubu hicho, utakuja kuniambia badae sana!
Hamna
Ni ngozi tu ya mtu reaction yake iko haraka sana.
Nimeshasema pale hata mtu akipita pembeni nilipolala nasense hata km nipo usingizini
 
Kunywa pombe sio ulevi,
Kunywa hakuzui mtu kumtumikia mungu,
Sio kila anaekunywa pombe anakua kalewa chakari,
Hela zitaisha bila ata pombe,
Msuko mmoja wa maana wa mwanamke ni zaidi ya cret mbili za a Serengeti lite,
Dunia sio salama ata moshi(magari na n. k) na vyakula vinaharibu afya,
Kwaio kunywa pombe kwa kiasi hakuna shida as long as unakunywa kwa starehe yako na kipimo,
Piga beer kwa kiwango maaalum,
Wanawake ambao hamtaki wapenzi wenu mnywe pombe ni wale ambao hawataki kuwapa alone time wapenzi wao everytime anatak awe nae,
Men do need some space,
Ni hayo tu.

Space nitakupa tu ila si kuitafuta kwa style hiyo ya kunywa pombe
Unaenda kazini,unaenda kwenye mishe zako nyingine..kote huko uko pekeyako.

Ni kweli mwanamke anapenda awe na mwanaume wake muda wote,hata mimi nikikuwa mkubwa natamani hicho kitu
Vipo vingi vinaharibu afya,sijaviongelea hivyo..nimeongelea pombe tu kwa sababu mada ni pombe.
Inaweza isizuie kumtumikia Mungu lakini ukiiacha utapata full time na nguvu zako zote utaelekeza huku(viwango)
Pia kwa mtazamo wangu Mimi Anne pombe ni dhambi
Hela zinaisha kwa namna nyingi ikiwamo hiyo ya kunywa...kwahiyo ikipunguzwa si mbaya..kama utaamua kupunguza pia ya kusukia ili iwe ngoma draw na kuacha pombe napo ni sawa tu..hakuna tatizo kabisa.
 
This morning...
IMG_20201226_183814_957.jpg
 
Ndo ivoo,
Mda mzuri wa kusumbuana ni wakati wa sex tu,
Ata kama ametoka kazini, bado space muhimu,
Usiombe upate mpenda Game na pombe utasahaulika my dear,
Kwaiyo usione shida mpenzi wako akinywa kama haina effect kwenye familia na mahusiano yenu kiujumla acha abugie vitu.
Ikishindikana kabisa kutokunywa basi nitamnunulia kila ziku ataikuta moja nyumbani.

Sasa wanaume unakuta wanakesha usiku wa manane vilabuni,wapo kuchanganya vilevimuda waskukaa na familia ataupata wapi??nakaaje nyumbani mwenyewe?yaani unipeleke kwako vizuri halafu wewe uondoke,urudi saa8 kisa pombe??Mimi sitakuwa tofauti na mlinzi Suma wa nyumba yako.

Space mtu unapewa tu,basi nenda kanywe hata soda..
 
Back
Top Bottom