Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,774
- 40,446
😀😀 imeisha hiyo. Tuwapigie makofi👏Weweeeee
😀😀 imeisha hiyo. Tuwapigie makofi👏Weweeeee
Analyse alikuja pia humuUna bahati sana Anne, tatizo hao jamaa watavumilia hadi pete kweli![]()







Hamna
Kibubu hicho, utakuja kuniambia badae sana!
Anawaacha hivyoAsi tuache wenyewe chamani![]()
Ya nini?imeisha hiyo. Tuwapigie makofi
![]()
Kunywa pombe sio ulevi,
Kunywa hakuzui mtu kumtumikia mungu,
Sio kila anaekunywa pombe anakua kalewa chakari,
Hela zitaisha bila ata pombe,
Msuko mmoja wa maana wa mwanamke ni zaidi ya cret mbili za a Serengeti lite,
Dunia sio salama ata moshi(magari na n. k) na vyakula vinaharibu afya,
Kwaio kunywa pombe kwa kiasi hakuna shida as long as unakunywa kwa starehe yako na kipimo,
Piga beerkwa kiwango maaalum,
Wanawake ambao hamtaki wapenzi wenu mnywe pombe ni wale ambao hawataki kuwapa alone time wapenzi wao everytime anatak awe nae,
Men do need some space,
Ni hayo tu.





natamani hicho kituMmefika hatua nzuri.






Namfundisha jinsi ya kupangilia mada asije akaja kuniaibisha 🙂🤣Naona unamsaidia mwana JF wa 2040??😂
Ikishindikana kabisa kutokunywa basi nitamnunulia kila ziku ataikuta moja nyumbani.Ndo ivoo,
Mda mzuri wa kusumbuana ni wakati wa sex tu,
Ata kama ametoka kazini, bado space muhimu,
Usiombe upate mpenda Game na pombe utasahaulika my dear,
Kwaiyo usione shida mpenzi wako akinywakama haina effect kwenye familia na mahusiano yenu kiujumla acha abugie vitu.
muda waskukaa na familia ataupata wapi??nakaaje nyumbani mwenyewe?yaani unipeleke kwako vizuri halafu wewe uondoke,urudi saa8 kisa pombe??Mimi sitakuwa tofauti na mlinzi Suma wa nyumba yako.Nimekuja. Nani anataka kuingia kwenye 18 zangu huyo ajitokeze hapa
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app











Labda sijui maana ya ubakaji mie, oooh kumbe bas sawaah.Ndiyo=MWANAUME na ninarudia MWANAUME akimbembeleza MWANAMKE vizuri MWANAMKE anakubali kubakwa vizuri tu.
Namfundisha jinsi ya kupangilia mada asije akaja kuniaibisha![]()


atakuaibishaje sasa na wee?Haina shida kabisa,nitakunywa naye nyumbaniBasi anakunywa soda mpka saa 8 za usiku![]()
Mimi nashangaa mnanichekaila wee cc bhana


