The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Duuuuh kwa ki sure hatareeeeh.
Babu huku wapi?Toka Chome..kilinge kipyaView attachment 1682895
Brother na mimi nataka tuende wote huko

Duuuuh kwa ki sure hatareeeeh.
Heehuwa sijawahi amini km wanajinyonga kweli, nahisi wanasingiziwa tyuuh.



Siku ya harusi mnakunywa soda mirinda Orange au fanta.kasema atakuoa....siku ya harusi yenu nitakunywaaa juisi
HapanaWewe ni Mnyamanyafu?
Wew siku hio nakuwekea dozen ya SAYONA na Energy upate nguvu za kuchezea muzikikasema atakuoa....siku ya harusi yenu nitakunywaaa juisi
Harusi hiyoHii Sasa si kitakua kipaimara

aiseee sitaweza nitatoka nje kutafuta safari ya bard sanaWew siku hio nakuwekea dozen ya SAYONA na Energy upate nguvu za kuchezea muziki
Walinzi nawapiga marufukuaiseee sitaweza nitatoka nje kutafuta safari ya bard sana
Unadhani nawaogopa Sasaaisee wanyakyusa tutakusema,,,tutasema harusi haikunoga masoda kibao sijui kama hatutapata kisukari

Hata mi mwenyewe sijui ni nini ujueGuu la bia hilo, hii ni massage au?
![]()