Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umenikumbusha mambo ya Easter conference, jamani kukesha kuimba, kusali na kuomba. Tatizo ile sehemu kulikua na mbu mno, nilivorudi home nlipatwa na malaria kalii.
Huku tulikuwa na outreach
Yaani ,kuzuri mno pamoja na changamoto zote ndogondogo .
 
IMG-20210121-WA0017.jpg
 
Ni wahehe wa zamani Sana siku hizi exposure imekua kubwa mambo hayo hamna Tena Labda kwenye ulanzi hapo unawekwa kwenye uji Kama sukari
Hata wa sasa mnajinyonga
Haki Iringa mmenishinda tabia,nawaogopa Mimi.
 
Pamoja na kukaa na wanyaki Sana nalijua neno moja tu ndaga fijo
Huo ni uzembe.
Mimi nazijua lugha karibia zote za makabila ya hapa mbeya mjini ukiacha lugha ya kabila langu ambayo kwa kiasi kikubwa inaendana na kinyakyusa,nakijua kinyaki,kinyiha,kisafwa,kimalila.
Lugha zote najaribu jaribu tu!

Kihehe najua salamu tu!
 
Back
Top Bottom