Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umenikumbusha mambo ya Easter conference, jamani kukesha kuimba, kusali na kuomba. Tatizo ile sehemu kulikua na mbu mno, nilivorudi home nlipatwa na malaria kalii.
Huku tulikuwa na outreach
Yaani [emoji91][emoji91],kuzuri mno pamoja na changamoto zote ndogondogo .
 
IMG-20210121-WA0017.jpg
 
Ni wahehe wa zamani Sana siku hizi exposure imekua kubwa mambo hayo hamna Tena Labda kwenye ulanzi hapo unawekwa kwenye uji Kama sukari
Hata wa sasa mnajinyonga[emoji23][emoji23]
Haki Iringa mmenishinda tabia,nawaogopa Mimi.
 
Pamoja na kukaa na wanyaki Sana nalijua neno moja tu ndaga fijo
Huo ni uzembe.
Mimi nazijua lugha karibia zote za makabila ya hapa mbeya mjini ukiacha lugha ya kabila langu ambayo kwa kiasi kikubwa inaendana na kinyakyusa,nakijua kinyaki,kinyiha,kisafwa,kimalila.
Lugha zote najaribu jaribu tu!

Kihehe najua salamu tu!
 
Mbona shemeji yako humuogopi? Mimi sitajinyonga bna yaan naacha utamu najinyonga serious[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shemeji watoto amuachie nani wakati ndio amebaki yeye wanamuangalia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yule shemeji yangu Gentleman sana yule baba.
 
Wasafwa washamba Sana wakitaka kuvuka lami pale mwanjelwa wanashikana wote mikono Kama kumi wanavuka pamoja [emoji23][emoji23][emoji23]
Na wale ndio wenye mji hapa town[emoji23][emoji23][emoji23]
Sema siku hizi wameendelea,wamestaarabika Sana.
 
Back
Top Bottom