Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Kipindi hiko niliumwa SanaIla wee cc n mwembamba hebu zidisha kula kwani lol. Kidding
Nilikonda kupita miezi yote

Kipindi hiko niliumwa SanaIla wee cc n mwembamba hebu zidisha kula kwani lol. Kidding

Ndio mitoko yangu hiyoDuuuuh maan naona ni vitenge tyuuh vinakaa mwilini. Pia vizuri ni vazi la heshima.

Halafu sijui huwa inakuwaje hadi inatetemekaAiseeeeeh hapo sawa, naona sauti ya kwanza ilikua ikitoa mtetemo wake hapo.




Ugali MuhimuUtashindwa kuchezesha tile za mashine wakati wa kushona,njaa mchezo unadhan oooh.



.






Unazikamata tu tatu tatu tatu.cc bhana unazoa 3 3, yaan nacheka nki imagine hzo 3 ktk kuzoa.



Comingnjoo uniweke hayo mabite.....
Ndi nsekelenaloli...kwani ghwa nsekele???
Tulienda kumuonyesha shamba mtu apige dawa maharageHakuna shamba hapa, unaenda shamba umechomekea!




Kwani kulikuwa na mambo gani mkuu.Mtwara, Kitaya Mambo yalivyokua sio Mambo last year before electionView attachment 1682634
Kitoke wapiKishundu kipo!!




Hawana tatizo kabisawale wapiga gitaa hua siwaamini kabisa moyo unadunda




nipo mkuu Asante nimetoka kumla sio muda huyo mnyamaWahehe karibuni kitoweo.View attachment 1682697



Ila wahehe huwa wananiacha hoiWahehe karibuni kitoweo.View attachment 1682697


Kama ujala huwezi kuelewa hapa😆😆TAI HAPAMBANI NA NYOKA ARTHINI. Humpeleka angani kwenye mazingira tofauti ya vita na kumwachilia humo.
Angani, hali ni ngumu sana kwake, hivyo nyoka hukosa nguvu na kubaki dhaifu na bila maana yeyote, tofauti na arthini ambapo yeye ana ujasiri, nguvu nyingi na ni hatari mno.
Peleka vita vyako katika ulimwengu wa kiroho kwa kuomba na umwachie Mungu.
Usipambane na adui yako katika mazingira yake. Badilisha kama vile tai kupitia maombi yako. Hapo Mungu huchukua usukani na kupigana vita vyako
Ushindi wako ni hakika
Tusikome Kuomba![]()
Nina shemeji muhehekunywa Pepsi baridi ntalipa ,, wahehe tupo vizuri
Kula mbwaana roho Safi,, Ila mbwa hatuli wanatuonea tu Labda kujinyonga kwa mbaliiiii



yaani nyieMuachendio hivo Sasa hamna namna