Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mchana ndio inapita hio mpaka usiku Tena ,,, unazoa chips na mikono wew mwanamke unazijua table manners? Tusije kwenda hotelini ukaniaibisha
Yesu wangu
Ngoja nianze maombi hapa, haiwezekani unataka kuwa Kama wa DAR afu nikuangie tu

Mimi ukinipeleka hotelini nitaomba maji ninawe..maswala ya kulia vijiti sijui Uma mimi bwana siyajui
Tangu nazaliwa hadi umri huu mimi nakula kwa mikono tu
 
Back
Top Bottom