Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Mama Muinjili nakusalimu katika jina la Bwana. Ahsante



Mama mchungaji umetokea wapi coca kasababisha yote haya hii picha niliifuta mda
Mama Muinjili nakusalimu katika jina la Bwana. Ahsante



Mama mchungaji umetokea wapi coca kasababisha yote haya hii picha niliifuta mdaHuyu dada huwa anakuja ghafla kama upepoMama mchungaji umetokea wapi coca kasababisha yote haya hii picha niliifuta mda





Hivi hili ndilo la siku ile umeweka picha?
Mama mchungaji umetokea wapi coca kasababisha yote haya hii picha niliifuta mda
Nimesreen shot kabisaaa.
Hallelujah malaika wana nguvu sana mama mchungajiAhahhha malaika wameniita eti
Eeenh uifanyie nini etiNimesreen shot kabisaaa.
Unavuma kama upepo wa siku ya pentecostemiss you mdogo angu



Niwe naiangaliaangalia tu maake siyo kwa hicho kipot.Eeenh uifanyie nini eti
Ushakula ganja zako unapewa wali wa kupimiwa kama wa kwenye harusi za kishua afu kupiga round ya pili unaona so,ukiangalia hotpot wali umebakia kama vijiko kumi,afu kuna mtoto mdogo pale nawaza akisema sijashiba ataongezwa nini au ndiyo nakula bajeti yake.









we jamaa unanivunja mbavu zangu Mimi





Lile lilikuwa refu kidogoHahhaha hili lingine mpenzi la siku ile lilikuwa black tupu kuanzia kiunoni kushuka chini

Hahhahahhaha yaani ghafla tu huyu apa
Hallelujah malaika wana nguvu sana mama mchungaji
Yaani kuna muda unaweza weka picha ikakaa sekunde moja,ukaitoa ukijua hakuna aliyeona..kumbe yeye alishaionaHahhahahhaha yaani ghafla tu huyu apa


AmenAmina
Vizuri sana kama unaendelea vizuri mpendwa

Hizo chips ni za kuonja au ndio lunchMwezi dume chips dume View attachment 1682529



HahhahhahahahaHuwa ninavutwa tu na harufu ya picha![]()