Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaan nikawa nawaza hivi huku mjini wali hauliwi kwa mkono?
Maan sidhan km n ajabu, bas yule muhudumu kila nikienda akiniona tyuuh anachekaa mwenyewe .

Na nikinunua ugali anasemaje sifanani na kula ugali, huea namtazama tuu, wakati angejua kwetu ugali ndo bandika bandua tena mboga za maporini huko.

mazoea tabu tupu.
Mimi nilichomshukuru Mungu nilikuta cafe wanapiga hadi ugali na mlenda..yaani nilikuwa nagonga ule ugali kama kichaa.

Na mara nyingi nilikuwa nakula ugali,wali Mara mojamoja.. walikuwa hawapiki vzr
 
Huku mjini ukiagiza ugali hasa cafe za vyuo, sijui unaonekanaje yaan. Me ndo swezagi naagiza tyuuh wala sijari mda wa kujibana sina,

Ila jioni nikiwa kwangu napika chochote hata mlenda hasa ule wa bamia na mboga ya maboga.
Sisi kule walikuwa wanavunga tu mwaka wa kwanza..
Lakini watu wazima tulikuwa tunagonga ugali acha kabisa.. mtu umekaa chuo miaka na miaka,mapindi mazito,umemaliza lectures njaa inauma halafu ukale chipsulisikia wapi
 
Back
Top Bottom