Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji38][emoji38][emoji38]hutafaa
Stick inachosha mikono.
Kuhangaika kuzichoma choma Tena chips na Stick mambo gani Sasa[emoji23][emoji23]
Zinatakiwa ziingie mdomoni kwa mapumziko na Raha kabisa.

Mimi mabandani at least huwa najikaza nalia stick ,napo kama hakuna kabisa maji ya kunawa.

Nikiwa nyumbani aisee ni kuzoa tu..tena nazoa hata 3 3
 
Yaan nikawa nawaza hivi huku mjini wali hauliwi kwa mkono?
Maan sidhan km n ajabu, bas yule muhudumu kila nikienda akiniona tyuuh anachekaa mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23].

Na nikinunua ugali anasemaje sifanani na kula ugali, huea namtazama tuu, wakati angejua kwetu ugali ndo bandika bandua tena mboga za maporini huko.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mazoea tabu tupu.
Mimi nilichomshukuru Mungu nilikuta cafe wanapiga hadi ugali na mlenda..yaani nilikuwa nagonga ule ugali kama kichaa.

Na mara nyingi nilikuwa nakula ugali,wali Mara mojamoja.. walikuwa hawapiki vzr
 
Hahhaa ikawaje sasa zilifutika au naomba isinitokee hiyo
Naona alijaribu mara nyingi nyingi
Sasa sijui aliwatag mods[emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo story Alitupa nilivyokucha ..usiku walishuhudia waliokuwa macho.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah jamani unazoa 3 3?
Sasa tuvipande tudogo tule ule kamoja kamoja si kuuchosha mdomo huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata nikitumia stick nachota tatu tatu[emoji1787]
 
Mtakatifu wewe ni kisanga.

Napenda kutumia vile vijiti kama vya kichina.nainjoy sana sana
Mimi hata kuvishika sijawahi zaidi ya kuviona humu[emoji23][emoji23][emoji23]
Afu utokee wananipa,sijui itakuwaje hapo jamani[emoji1787][emoji1787]
 
Huku mjini ukiagiza ugali hasa cafe za vyuo, sijui unaonekanaje yaan. Me ndo swezagi naagiza tyuuh wala sijari mda wa kujibana sina,

Ila jioni nikiwa kwangu napika chochote hata mlenda hasa ule wa bamia na mboga ya maboga.
Sisi kule walikuwa wanavunga tu mwaka wa kwanza..
Lakini watu wazima tulikuwa tunagonga ugali acha kabisa.. mtu umekaa chuo miaka na miaka,mapindi mazito,umemaliza lectures njaa inauma halafu ukale chips[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ulisikia wapi
 
Back
Top Bottom