Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

yaan nimecheka had baas, nakumbuka 1St yr ile mwanzon nilienda cafe sasa nkaagiza wali na samaki, nkaletewa kijiko mie huyu nkanawa mkono nazoa wali.
Muhudumu akaanza kucheka afu kwa sauti, mie skujari nkala zangu nkalipa, ile natoka anauliza "umetokea mkoa gani" nkamjibu alizidisha kucheka,

Mie huyo nkasepa zangu wala sikujari aaaah, kijiko na umma ni kuchelewesha mlo.
 
yaan nimecheka had baas, nakumbuka 1St yr ile mwanzon nilienda cafe sasa nkaagiza wali na samaki, nkaletewa kijiko mie huyu nkanawa mkono nazoa wali.
Muhudumu akaanza kucheka afu kwa sauti, mie skujari nkala zangu nkalipa, ile natoka anauliza "umetokea mkoa gani" nkamjibu alizidisha kucheka,

Mie huyo nkasepa zangu wala sikujari aaaah, kijiko na umma ni kuchelewesha mlo.
Mimi ukinikuta nimekaa cafe ujue nimekalia ugali
Show ya ugali, Tena unakuta nimekaa meza wanakuja na wakaka wanakula ugali..
Aloo hapo ni kumenya ugali na mikono hadi napukutisha sahani..nikitoka hapo naenda kupiga pindi fresh


Sasa akaanza kukucheka
Hajui mkono ni rahisi kulia kuliko kijiko
 
Back
Top Bottom