Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
MweeeHahaha nafuta zote

MweeeHahaha nafuta zote

Bora hata wewe umekaakaa mjini huko daslama..Sasa Mimi wa vijijini huku halafu eti nikapewe vijiti jamaniYaani anne wewe mimi kabisa


Wooooooooooow





Haswaaaah dea.Hahahaahha
Hahaha za mwanzo zimeshafutwa







yaan nimecheka had baas, nakumbuka 1St yr ile mwanzon nilienda cafe sasa nkaagiza wali na samaki, nkaletewa kijiko mie huyu nkanawa mkono nazoa wali.
Muhudumu akaanza kucheka afu kwa sauti, mie skujari nkala zangu nkalipa, ile natoka anauliza "umetokea mkoa gani" nkamjibu alizidisha kucheka,
Mie huyo nkasepa zangu wala sikujari aaaah, kijiko na umma ni kuchelewesha mlo.






Mimi ukinikuta nimekaa cafe ujue nimekalia ugaliyaan nimecheka had baas, nakumbuka 1St yr ile mwanzon nilienda cafe sasa nkaagiza wali na samaki, nkaletewa kijiko mie huyu nkanawa mkono nazoa wali.
Muhudumu akaanza kucheka afu kwa sauti, mie skujari nkala zangu nkalipa, ile natoka anauliza "umetokea mkoa gani" nkamjibu alizidisha kucheka,
Mie huyo nkasepa zangu wala sikujari aaaah, kijiko na umma ni kuchelewesha mlo.

















Yaan huwez amini watu wananshangaa nisivopenda chips, siwezi kabisaaa iwe kavu au sijui yai, mie huwa napika viazi vya kukaanga. Au napika losti nachanganya na ndizi mbivu.




Jamani nilianza mwaka jana mwishoni![]()





yaani unanichekesha unavyocheka na emojNIpatie hiyo juice tafwazaliMwezi dume chips dume View attachment 1682529
Ila kutumia hivyo vijiti utakuwa unajua jua.mimi wa mjini lakini ni mwendo wa mkono
da kuna wenye mmeumbwa na Mungu wa mbinguni mkaumbika.....
Sasa jeila wee cc hapan lol.



Haki ya nani TenaHahhah eti hata kuvishika hujawahi Anne bwana




Mammy wee acha tyuuh mazoea yana tabu, si unajua maisha ya kijijin, afu huwa swezi kufake yaan, na venye mjini tumekuja kwa lorry la mazao ya chakula bas tabu tupu







Ni zamani lakiniYaani umenitisha ujue




Ningeshangaanakutania hicho kionjo tu ni Kama kisafisha njia naenda kula ugali kitimoto muda si mrefu ubebe gunia halafu ule vimbogamboga hivo maana huku chips wanaita mboga,



tamu balaa nanasi + embe niagize kwenye boat ya saangapi?NIpatie hiyo juice tafwazali
Ngoja nipige simu klm ferry tuone wana boat ya saa ngapi kuja hukutamu balaa nanasi + embe niagize kwenye boat ya saangapi?