Nikija uko nitataka kwenda kupanda mlima binamu...kama utanipeleks kilamanjalo naja likizo ijayo mwenz wa6Sawa binamu, ngoja itokee fursa nije, lakini hata wewe unaweza kuja nitembelea banah kwani huku hakuna swimming pool
Niletee mkuuNlikua na mpango wa kupita tu
Ila kumbe kuna drama humu
Narudi
Wale wanaosoma comments nani nimletee popcorn????
Aniwekee siti
Eeh bhanaGucci gang eti ulikuwa na mpango ws kupits ukaons uweke pause hspa selfka kwanzanimecheka kwa sauti wallah
Hapana siwezi kukaa maana nawahi sehemuHaukai jmnkaa unywe ata maji bhna
Vizuri sana kama hujamboSijambo mkuu
Kumbe introvert mko hivi sikujuaWala siwezi kujikweza humu, kwa kipi na ili iweje yaan? Hat siku 1 sijawahi na haitowahi tojea kumu hulkia m2 for nothing,.
Naishi maisha yangu, na kikubwa zaidi nipo very introvert, basi wao watu wa nje ndo wananifata mie,
Humu kuna m2 anajifanya yeye ni chizi, sasa mie kumbe ni kichaa zaidi yake, acha tuoneshane makali
Wengine kuweni wapoleeeeeh.
Dah umenichekesha sana jmnEeh bhana
Sasa napanda kidogo naona mbna watu wanaquotiana nikibonyeza quote inazidi kunoga mpaka nikaona niweke kambi nipo huko juu juu huko mambo yalipochachamaaa
Na nahisi kawiki haka ntakua napita pita kidogo humu
Vp lakn u mzma?
Hahhahaa ukiwa wa mto hvi ndo unavo zidi kuwa maarufu kungekuwa na tuzo mbona tungebeba kombe mwaka huuHapana siwezi kukaa maana nawahi sehemu
Huu uzi umekuwa wa moto mno
Wacha nipite tu........
mungu ni mwema dearVizuri sana kama hujambo
huyo jamaaa anaweza hata akakula kimasihara ulivyomfurahia hivyohakika shule ulienda kusoma na kuchukua maarifa,
Kwahiyo ndo umekataa kunipa feedback ya ile kazi niliyokutuma mrembo?Dah umenichekesha sana jmn
Sijambo mkuu
Nimekuelewa haswaaah mkuu, tena uko sahihi kabisaaah, na nafahamu humu wapo watu wa kila aina, na najua privacy ni jambo la lazima kwa kila sehemu hasa suala nyeti (baya au zuri) ,Mkuu,
Binafsi wala sina shaka na akili kubwa Mungu aliyokupa, sina shaka kabisa. You're so exposed na dunia na ndio maana upo hapo ulipo, hoja yangu ni kuyaweka ya chumbani yabaki huko, zile picha mimi sikuzipenda na nilikuwa wa kwanza kukukrash. Hata kama umeamua kuwa shoga, basi sawa lakini usituonyeshe, tumekataa kuzitizama.
Hakuna atakayekupangia nini ufanye, ila content za kishoga tumekataa usipost humu. Mashoga humu wapo kibao, wezi, majambazi, malaya, wahuni..nk Ila tukae nayo huko.
No iko wapi sasa wee, mie nikusababishie na ya kutolea,Best hali ngumu sana kuliko kuagiz amarula si unidababishie tu kwa tigo pesa yangu chapu
Utajua mwenyewe.Kumbe introvert mko hivi sikujua
Hayo ndio yaliyo ujaza moyo wako, poleeeeeeeh kwanini utesekehuyo jamaaa anaweza hata akakula kimasihara ulivyomfurahia hivyo
Kazi gan hyo mkuuKwahiyo ndo umekataa kunipa feedback ya ile kazi niliyokutuma mrembo?
Miguu mizuri dea,
Uwiiiiiih na venye njaa inauma, hadi nahisi kuna mtu anakwangua utumbo wangu lol.Tule kwanzaView attachment 1681999