donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,131
Machine ya kufua nakujaDaaah wakuu anayejua wapi nitapata washing machine hata used kwa dodoma hapa naomba msaada. Nliacha nguo nimeloweka tangu jana asubuhi, hii harufu inayotoka sio ya nchi hii nasubiri majirani walale kwanza ndio nisuuze nikaanike
Ohooo oky baba hakuna shidaNarudi ijumaa bestee bado nko iringa
Trh 15Kupenda ni rahisi sana, hivi kwanini watu hawajui hilo, yani ukiamulia basi raha duniani, vitu vidogovidogo vinakonga moyo sana na akili, unaamka vikisses kido, unaenda kunywa chai vikissess kidogo, upo kazini vimsg kidogo baby umekula nini yani mpaka shetani anawakimbia
Tusingoje mpaka siku ya wapendanao duniani
Acheni kulea mashoga katika uzi huu. Shoga linajishaua humu mpaka na picha za mabasha yake linaweka nyie mpo mnachekelea tu. Hata ufutwe tu ni sawa. Hamkitakii mema kizazi hiki! You condone faggotism?
Eh eh jamani kama mmeamua kupambana na huyo mtoto basi pambaneni naye kivyenu msimhusishe na huu uzi
Huu uzi tuko nao humu tangu mwaka juzi tena hata kabla yeye hajajiunga JF na hakujawahi kuwa na shida
Mtu anatoka huko alikotoka kashashiba zake mmea uzi kaujua juzi anakuja kuropoka humu eti huu uzi ufutwe wtf
Wengine tunafahamu status ya huyo mtoto tangu muda mrefu na wapo waliojaribu kuongea naye ila imeshindikana
Wengine mmemfahamu juzi tu mnataka kuanza kelele eti tumemlea ninyi mnajua ni watu wangapi wamemkanya humu
Wameshindwa kumbadilisha wanaoonana naye kila siku ndiyo mtaweza kumbadilisha ninyi mnaobwata nyuma ya keyboard
Wewe sio wa kwanza na hizi kampeni walikua viongozi na mataifa kupinga ushoga lakini wakaangukia pua, papa mwenyewe anaunga uhuru wa watu kuchagua wanachokipenda, kwanza mpaka mtu awe shoga huyo mtu kashafanya tafakari sana na madhara anazijua unakuta ameshafanya maamuzi, sasa usije na hoja nyepesi uzi huu unapendekeza ufutwe, kuna watu wanajiona wakiingia jf bila kupita hapa hawajafurahi sasa kero ya mmoja usichukulie ni ha majorit , mbona kila uzi humu jf wapo,Acheni kulea mashoga katika uzi huu. Shoga linajishaua humu mpaka na picha za mabasha yake linaweka nyie mpo mnachekelea tu. Hata ufutwe tu ni sawa. Hamkitakii mema kizazi hiki! You condone faggotism?
Uzi umekua na wakimbizi wengi kuliko wazawa,Uzi umechukua sura mpya
Bro unatetea dhambi za waz Waz zikemeweMsijihesabia haki na mkajiona hamna mapungufu mbele za Mungu baba, kila mmoja wetu hapa ni wadhambi na msisahau hakunaga dhambi ndogo wala kubwa zote ni dhambi kumu ipo pale pale, sasa msinyoshe vidole kwa mwenzenu wakati na nyie ni wachafu vile vile ni wadhambi vile vile, Mungu sio kama binadamu yeye ni mwingi wa rehema na anazitambua njia zetu kuliko sisi wenyewe, msihukumu kabla hujakumiwa. Kile kibanzi cha mwenzako jichoni..... Anza kusafisha jicho lako kwanza ili uone ya mwenzako vizuri..
Dhambi ikemewe mkuu. Sio kuipigia makofi wakati ikitendeka.Msijihesabia haki na mkajiona hamna mapungufu mbele za Mungu baba, kila mmoja wetu hapa ni wadhambi na msisahau hakunaga dhambi ndogo wala kubwa zote ni dhambi kumu ipo pale pale, sasa msinyoshe vidole kwa mwenzenu wakati na nyie ni wachafu vile vile ni wadhambi vile vile, Mungu sio kama binadamu yeye ni mwingi wa rehema na anazitambua njia zetu kuliko sisi wenyewe, msihukumu kabla hujakumiwa. Kile kibanzi cha mwenzako jichoni..... Anza kusafisha jicho lako kwanza ili uone ya mwenzako vizuri..
Sina maana naunga mkono, someni vizuri mtaelewa hoja yangu imeegemea wapiDhambi ikemewe mkuu. Sio kuipigia makofi wakati ikitendeka.
Siungi mkono na wala sioni umuhimu wa kutumia nguvu nyingi sana kupiga katazo, hivi kuna asiejua kuwa ushoga ni dhambi na madhara yake yote, mimi nashauri njia ingine zaidi ya kupambana na hili muanze kwenye family zenu sasa mkipiga kelele kwa mijitu mizima huku si kutwanga maji kwenye kinuBro unatetea dhambi za waz Waz zikemewe
Safi sana
Msijihesabia haki na mkajiona hamna mapungufu mbele za Mungu baba, kila mmoja wetu hapa ni wadhambi na msisahau hakunaga dhambi ndogo wala kubwa zote ni dhambi kumu ipo pale pale, sasa msinyoshe vidole kwa mwenzenu wakati na nyie ni wachafu vile vile ni wadhambi vile vile, Mungu sio kama binadamu yeye ni mwingi wa rehema na anazitambua njia zetu kuliko sisi wenyewe, msihukumu kabla hujakumiwa. Kile kibanzi cha mwenzako jichoni..... Anza kusafisha jicho lako kwanza ili uone ya mwenzako vizuri..
@linahbaby hahahahhaaKwahiyo wewe ni linahbaby