very goood afterno on have blast daySijawahi kutamaniwa mie,
Enxieeh.very goood afterno on have blast day
Naviomba.Habari zenu wakuuView attachment 1680529
BAK si nilikuambia ukawa unanibishia haya sasa njoo hukuSasa km unakemea hilo na adhabu zake unazijua ni wazi ukaanza kutekeleza kwa vitendo, sio maneno tupu km serikali ya Tz inapinga kwa mdomo huku vitendo ni.
Mbona wapo wengi wanaojitangaza wazi wazi na sijawahi ona wakipewa hizo adhabu. Au mie ndio sielew?
Mf, James Delicious anajiweka wazi wazi na alishatoa maudhui ya hilo suala hadharani, kilichofuata kukamatwa na kuwekwa rumande siku 3 katoka nje yupo uraiani anaendelea na maisha yake,
Akaweka tena maudhui hadharan, akaamriwa fine 5Ml zikatolewa case kwisha, sasa hizo adhabu unazozisema wee kutoka wapi? Km kutoka ktk vitabu vya dini mbona sijawahi ona dini au dhehebu lolote kuwahi kutekeleza hizo adhabu, ingali wapo wanao onesha wazi wazi suala hili hadharani.
Ni muda sasa jamii iwe buzzy na mambo ya msingi na yenye tija ktk kuleta maendeleo ya Taifa kwa ujumla, na sio kuwa buzzy kupinga suala la rasilimali ya mtu binafsi, tena ikiwa hawawezi kutatua tatizo hilo kamwe, ni upotevu wa muda.
Live ur own lyf, n mynd ur own bznes.
Tunaishi mara 1 tyuuh..........
Watu Wanajua jike kumbe dume, nenda kwenye ule uzi wa magari uone anavyodeka mule, Yan hutoaamini jaman.ndio mkuu hata title ya uzi huu umekaa kichoko sana Huyo choko wamemlea humu sana eti Leo ndo wanashtuka
Mtoko wa ijumaa niniReady
@qeen jojo mbona tunafanyiana hivyo lakini?..kazi niliyokuomba unisaidie mbona hujanipa feedback mrembo?Sijambo swahiba
Asante mkuu
Kwamba una amini kila kitu nachofanya n real? Sasa kwani kuna cha ajabu kipi? Hebu mniache bhana. KhaaaaahWatu Wanajua jike kumbe dume, nenda kwenye ule uzi wa magari uone anavyodeka mule, Yan hutoaamini jaman.
Huyu mbona tangu kitambo tu wengine tunamfahamu
Thanks mbona mbs 200 tu itakua na quality kweli?
Eh eh jamani kama mmeamua kupambana na huyo mtoto basi pambaneni naye kivyenu msimhusishe na huu uzindio mkuu hata title ya uzi huu umekaa kichoko sana Huyo choko wamemlea humu sana eti Leo ndo wanashtuka
Unautetea sana huu uzi.πEh eh jamani kama mmeamua kupambana na huyo mtoto basi pambaneni naye kivyenu msimhusishe na huu uzi
Huu uzi tuko nao humu tangu mwaka juzi tena hata kabla yeye hajajiunga JF na hakujawahi kuwa na shida
Mtu anatoka huko alikotoka kashashiba zake mmea uzi kaujua juzi anakuja kuropoka humu eti huu uzi ufutwe wtf
Wengine tunafahamu status ya huyo mtoto tangu muda mrefu na wapo waliojaribu kuongea naye ila imeshindikana
Wengine mmemfahamu juzi tu mnataka kuanza kelele eti tumemlea ninyi mnajua ni watu wangapi wamemkanya humu
Wameshindwa kumbadilisha wanaoonana naye kila siku ndiyo mtaweza kumbadilisha ninyi mnaobwata nyuma ya keyboard
Quality murua kabisa, ngoma iko compressed mkuu.Thanks mbona mbs 200 tu itakua na quality kweli?
Pia kama hutojali naomba link ya hio website