Selfika na JF: Snap it. Show it

sawa dogo kila mtu aishi maisha yake Ila unayo nafasi ya kubadilika Kama case yako haihusiani na hormonal imbalances Ila Kama umejifunza tu tafadhari dogo badilika muombe na mungu pia na usione ufahari Sana Labda ungekua nchi za mabeberu huku afrika hio haikubaliki katika utamaduni wetu
 
Usibadilike acha vijana wale tope, fanya unavyojisikia unaona kwako ni raha
 
Hoja ya mabadiliko kwangu kuhusu suala hili halifanywi kwa ushauri wa mtu wa nje, maamuzi ya mabadiliko yatafanywa na mie mwenyewe binafsi km nikitaka.

Kuhusu case ya hormonal imbalances hili hupaswi kujua km ndo iko hivyo au lah,

Umechagiza na DINI kidogo hapo hivi huyo Mungu mnafundisha nyie kazi? Na km mnajua adhabu anatoa Mungu mbona mko mnahaha na mie, nasubiri hukumu kutoka kwake yeye, sio kelele na mahubiri kutoka kwa mwanadamu ambaye naye ana madhaifu mapungufu na dhambi zake.

Utamaduni upi huo wa Afrika unaouzungumzia? Mbona siuoni kabisa? Huu wa kuvaa nguo za kubana na zisizo na staha? Kuweka picha za uchi hadharani? Kutazama video za ngono? Kunyoa viduku? hebu acheni unafiki khaaah,

Dunia saivi imeshakua sayansi na teknolojia, na ujue hizi ni zama za digitali, sio analojia. Ndio maana halisi ya utandawazi.

Nakupa muongozo, ishi maisha yako binafsi, maisha ya mtu mwingine hayakuhusu.

Relaaaaaaaax.
 
Kila mtu ana Uhuru lakini siyo kutuwekea picha za kuchefua.
Sina haja ya kuuliza zimetokea wapi as long as zinakera lazima tuseme.

Wewe endelea tu, MUNGU atakunyoosha tu ..km alinyosha Kijiji chote Cha sodoma na gomora ni Kazi ndogo Sana kukunyoosha.
 
Uko sawa kabisa kulingana mtazamo au maono yako, km Mungu ataninyoosha ni yeye mwenyewe ndo mtoa hukumu wala sitakua na pingamizi kwake juu ya hilo.

Sasa km hutak kuuliza au kujua zimetoka wapi na kwanini ziliwekwa kwa kua zinakuchefua au kukera, ni rahisi sana ungesema tyuuh "cocastic hizo picha ulizoweka sio nzuri au hazipendezi naomba zitoe" wala hakukua na tatizo mbona.

Lakini kupinga au kutoa hoja za kun attack ndo palipokua na mushkeli.

Samahani sana kwa hili, huwa sipendi kukwazika na mie kumkwaza mtu.
 
Mbona umeambiwa utoe au ulitaka tukuambie vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…