Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,453
- 52,962
Wanawake mnapendaga kucha, nywele, vipodizi, iphone na kula vitu vizuri vizuri yani mwanaume akitoa huduma ya hivyo basi hambandukiHabari zenu wakuuView attachment 1680529
Wanawake mnapendaga kucha, nywele, vipodizi, iphone na kula vitu vizuri vizuri yani mwanaume akitoa huduma ya hivyo basi hambandukiHabari zenu wakuuView attachment 1680529
[emoji23][emoji23]une ngutila mweee
Sasa sisi ambao hatujui kudrive si tunaona fresh tu[emoji23]hahahahaah mimi naonaga kama dereva hajui...nikikaa mbele
Wazo gani hilo?hali gani kalumbu??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna wazo limenijia kuhusu hali uliyo nayo nimeishia kucheka
Nishapoapole sana
Sasa lile tumbo nimepost juzi ndio la kuwa mama kijacho kweli jamani[emoji23][emoji23][emoji23]wamama wenye mimba hawapendi kukaaa siti za nyuma....nikawaza umekua mama k
Hata sijui, inawezekana ni hivyo maana nilikuwa natapika balaa afu kula nikawa siwezi..Jana mida km hii nilikuwa natapika maji tu!pole Sana aisee ni malaria au maana huko kyela Kuna malaria balaa
Sio mimi mkuuWewe huyo [emoji140]
Sio mimi mkuu najiudumia mwenyewe sinaga mtu wa kuniudumia etiWanawake mnapendaga kucha, nywele, vipodizi, iphone na kula vitu vizuri vizuri yani mwanaume akitoa huduma ya hivyo basi hambanduki
Kumbe mie ndio nitakuwa bibi harusi eeh[emoji2956]..kwani na Bibi harusi wanakulaga ubwabwa
Ntacheck vyote Malaria, typhoid,amibayes kacheck malaria
Yesu wangu[emoji23][emoji23][emoji23]unakuta pale lilikua na miez 2 saiv mitano.....yani sijui kwann niliwaza hivyo
Wa kishua ndio huwa mnashiba mahindi sasa.Hamna anayeshiba mahindi peke yake mama
Ila tu watoto wa kishua hamuwezi elewa hili
Ena bhabhaupone mapema nkamu...kyala akutule
Nataka kufa kiutani tu[emoji23][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Aise pole dear
Naendelea vizuriPole sana Anne
Unaendeleaje kwa sasa mpendwa?