Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,883
- 51,690
Wanawake mnapendaga kucha, nywele, vipodizi, iphone na kula vitu vizuri vizuri yani mwanaume akitoa huduma ya hivyo basi hambandukiHabari zenu wakuuView attachment 1680529
Wanawake mnapendaga kucha, nywele, vipodizi, iphone na kula vitu vizuri vizuri yani mwanaume akitoa huduma ya hivyo basi hambandukiHabari zenu wakuuView attachment 1680529
Sasa sisi ambao hatujui kudrive si tunaona fresh tuhahahahaah mimi naonaga kama dereva hajui...nikikaa mbele

Wazo gani hilo?hali gani kalumbu??kuna wazo limenijia kuhusu hali uliyo nayo nimeishia kucheka
Nishapoapole sana
Sasa lile tumbo nimepost juzi ndio la kuwa mama kijacho kweli jamaniwamama wenye mimba hawapendi kukaaa siti za nyuma....nikawaza umekua mama k



Hata sijui, inawezekana ni hivyo maana nilikuwa natapika balaa afu kula nikawa siwezi..Jana mida km hii nilikuwa natapika maji tu!pole Sana aisee ni malaria au maana huko kyela Kuna malaria balaa
Sio mimi mkuuWewe huyo![]()
Sio mimi mkuu najiudumia mwenyewe sinaga mtu wa kuniudumia etiWanawake mnapendaga kucha, nywele, vipodizi, iphone na kula vitu vizuri vizuri yani mwanaume akitoa huduma ya hivyo basi hambanduki
Kumbe mie ndio nitakuwa bibi harusi eehkwani na Bibi harusi wanakulaga ubwabwa
..


Ntacheck vyote Malaria, typhoid,amibayes kacheck malaria
Yesu wanguunakuta pale lilikua na miez 2 saiv mitano.....yani sijui kwann niliwaza hivyo



Wa kishua ndio huwa mnashiba mahindi sasa.Hamna anayeshiba mahindi peke yake mama
Ila tu watoto wa kishua hamuwezi elewa hili
Ena bhabhaupone mapema nkamu...kyala akutule
Nataka kufa kiutani tu
Aise pole dear



Naendelea vizuriPole sana Anne
Unaendeleaje kwa sasa mpendwa?