Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mabegi bila nauli.....
Screenshot_20210118-194155_WhatsApp.jpg
 
kwani na Bibi harusi wanakulaga ubwabwa
Kumbe mie ndio nitakuwa bibi harusi eeh..
Basi kama wewe utakuwa bwana harusi nakutaarifu mapema,ile keki tutakayokata pale mm nitaipiga nusu keki pale .

Chakula maharusi huwa wanatangulia kupakua,aisee mm nakula pilau vibaya mno..kuna hatari ya kupiga addition siku ya harusi
 
Back
Top Bottom