Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nawe choko umezidi shobo na kujishaua. Yaani kuwa shoga basi unafikiri maisha umeyapatia. Ptu !!!
Wapi nilileta shobo na nani niliye mshobokea? Wee pia hujakatazwa kujishaua, uhuru ni wako. Maisha kuyapatia au kutoyapatia ni mie wala sio wee, msieeeeeeeeew!!!!
 
kwahiyo mkuu, wee ni kwamba ulizaliwa ukiwa na hormones imbalances, yaani ni wa kiume ila hormones za kike zimezidi au.....
ulizaliwa wa kiume ukiwa vzr kabisa bila tatizo la hormones imbalances ila umeamua/umependezwa mwenyewe kuwa gay??????
Hupaswi kujua hilo, na hata ukijua hutokua na faida wala hasara yeyote. Kuwa buzzy na mambo yako binafsi.
 
Wapi nilileta shobo na nani niliye mshobokea? Wee pia hujakatazwa kujishaua, uhuru ni wako. Maisha kuyapatia au kutoyapatia ni mie wala sio wee, msieeeeeeeeew!!!!
duh!! ila braza unamaamuzi magumu, yani umeamua kabisa mboo za wanaume wenzako ziwe zinazamishwa mkunduni mwako, lah!!!!!!!!!!
nawe unajiskia fresh tuu yani unaona poa tu, huo ni zaid ya ushoga.
 
duh!! ila braza unamaamuzi magumu, yani umeamua kabisa mboo za wanaume wenzako ziwe zinazamishwa mkunduni mwako, lah!!!!!!!!!!
nawe unajiskia fresh tuu yani unaona poa tu, huo ni zaid ya ushoga.
Chini ndo nimeeelewa make ulivosema braza na uliyemquote niliona kama umekosea
 
Tuweke picha ila heshima ni Muhimu.
Dogo picha zako hazina maadili,una uhuru na jana nilisema binadamu wote ni sawa ila si sawa kuweka hizo picha.

Sikuingilii ila jiangalie sana,njia uliyoichagua si nzuri,bado unayo nafasi ya kurekebisha,Mungu ni pendo, ndiye njia na anatuonyesha njia...huko ulipo sipo kabisa
Mungu bado anakuhitaji,ubadilike.
Hakuna heshima yeyote niliyovunja humu, hizo picha zipi zisizokua na maadili? Kwan ukosefu wa maadili n kuwa LGBT? najua kanuni na taratibu zote za hii forum, wala sijakiuka hilo. Hizo picha nilizoweka ilikua ndan ya comment ambayo nilikua namjibu mtu nka ambatananisha na picha ili aaone uhalisia wa kile anachokizungumzia,

Haikua haja ya watu wengine kuhangaika na kufurukuta kuhusu hilo kwani halikua linawahusu, na sidhan km wangekua buzzy na mambo yao binafsi km wangepata na chance kujadili suala ambalo kwao ni tatizo au haliwapendezi.

Umetoa hoja ya kutaka mabadiliko kwangu, unadhan wee ndo unaweza kunibadilisha kwa hayo maneno yako kutoka kwenye vitabu fulani? Mabadiliko yatafanywa na maamuzi yangu mie mwenyewe binafsi km nikitaka. Halafu hakuna hoja nyingine inayoweza kutetea wakati wa pingamizi ktk suala hili zaidi ya DINI?

kuhusu hoja ya DINI kwangu haina nafasi wala mashiko, labda kuwepo na hoja nyingine mbadala naweza kukubali kudadavua, unadhan kila mtu ana imani na hicho unachokopigania ktk pingamizi la suala hili?

Huko kwenye dini mie mwenyewe muumini mzuri tyuuh, nimeanza kushiriki ktk masuala ya dini tangu mdogo nikiwa na miaka 8, nimeshiriki shirika la watoto (KIPAPA), nimetumikia kanisani, nimeimba kwaya. na nimekulia familia yenye msingi imara ktk maadili na malezi.

Lakini yote hayo hisia zangu hazihusiani na hilo, na siwezi kufanya kitu ambacho sina ashiki eti niridhishe jamii inayonizunguka kwa kipi na ili iweje? Naishi vile mie nataka maisha yangu yawe, ili hali sivunji kanuni, taratibu na sheria za nchi zilizowekwa.

Samahani sana kwa maelezo haya, km nitakua nimekukwaza nisamehe tyuuh.
 
ile feeling napata ni scroll nikute huu uzi uko juu juu
Screenshot_20210117-214751.jpg
 
duh!! ila braza unamaamuzi magumu, yani umeamua kabisa mboo za wanaume wenzako ziwe zinazamishwa mkunduni mwako, lah!!!!!!!!!!
nawe unajiskia fresh tuu yani unaona poa tu, huo ni zaid ya ushoga.
Kwahiyo?
 
Kwanza wee uliingilia mjadala usiokuhusu, sikua najibizana na wee,

Hiyo jamii gani unayosema kuwa sio sawa kwa LGBT? Hii ambayo kutwa kuzungumzia hiyo taasisi na wahusika wake?
Mbona hujiulizi siku zote sijawahi weka ila jana niliweka, na sio main post Bali ni comment ambayo nilikua namjibu mtu nkamuwekea na picha ili aone uhalisia wake.

Na hii ni forums wala sio barabarani km unavonasibisha wee, na pia hujakatazwa kuweka pic ukiwa unadendeka na fiance wako, uhuru ni wako weka tyuuu hakna atakae jali wala kuhoji. Labda km unaogopa yako kua . Hapo sawa.

Ukiona unakereka au kukwazika juu yangu, wee ni ignore na kun block kabisa. Kuepusha misuguano usiyokua na tija wala maana.
Ok, yameisha mkuu!
 
Back
Top Bottom