Selfika na JF: Snap it. Show it

kitonga kina Kona nyingi na sio Kali Sana mtera pana Kona Chache Ila Kali mnoo
 
Kwenye upande wa Kona Kali nahisi Kitonga ni kali sana kuliko hizi za Mtera.

Kwenye idadi ya Kona nyingi, Mimi pia nilihisi Kitonga kona ni nyingi kuliko hizi za Mtera.

Ingawa nitajaribu kuzihesabu kwa kutumia Google Earth application. Ili tufanye comparison na data za madereva ambao wamekuwa wakizitumia hizi barabara mara kwa mara.
 
Duuuuuh hapo mtera napagopa km nn, hizo kona zinekaa hovyo mno, afadhari ya kitonga lol.
 
Of course though sio kama Kitonga, unajua Kitonga ukichochola ukaingia kule chini ndiyo inakuwa mwisho wa maisha.

Wakati hapa Mtera doesn't scare much.
Ila kitonga napo pana kisanga mmmh, nikiwa nasafiri kwenda home au kutoka home kuja huku, nikifka kitonga nakua mpolee na kusali San.
Selikali iangalie namna gan itarekebisha pale, kuepusha adha kwa wanachi wake.
 
Mkuu idadi ya Kona huo mlima Iringa -dom (wanauitaje jina limenitoka) huwezi linganisha na kitonga.
Acha kabisa,mlima una Kona zaidi ya 50

Tena Kona kali,kitonga haoni ndani.
Kuhusu kuchochora inakuwa Mungu tu aingilie Kati..usiseme eti Bora uchochore huko Mtera kuliko kitonga,,hivi kule chini korongoni umewahi chungulia vizuri kweli???na panachukua muda mrefu Hadi kuzimaliza zile Kona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…