Ntakuja dea nijionee hivyo vitu vingi.We acha tu nimetekwa na vingi mieee...yakheee huko bara mtajanisikia tu(in .....’s voice )
Utaenjoy aiseh we ukuje tu na Mparee wako







Ngoja nimalizane na urojo kwanza😆😆😆Ntakuja dea nijionee hivyo vitu vingi.
Hebu rudi bara haraka.![]()
Mdogo wangu Mimi hadi umri huu najua gemu la nyoka tu!lile la kwenye nokia za mwanzo mwanzo zile
Itaisha tu.Kwenye kamati ya roho mbaya mimi ni mwenyekiti ..![]()
Ukitekwa tekekaHakyamama tena mniombee nirudi..vinginevyo!!nitalowea kwa hawa watu..nimetekwa mimi jamani![]()
Alikwambia nani😆😆Itaisha tu.
Hizi rangi nimezielewa Sana.
.Yesu mnazaletiAlikwambia nani![]()
Nimeshajitekesha siku mobu ndo mana sirudi ng’oUkitekwa tekeka
Yap ni rangi nzuri ila zinapendeza zaidi kwenye Kucha za bandia.hivi vipisi vyetu havikai poa sanaHizi rangi nimezielewa Sana.
Kuna huyo dada amependeza nayo.
Ngoja na Mimi siku moja nijaribu kupakaView attachment 1677113
Mtaachana tuNimeshajitekesha siku mobu ndo mana sirudi ng’o
😆😆😆sasa wewe endelea kusikia tuYesu mnazaleti
Kamati ya roho mbaya kazini😆😆😆😆kwendraaaaaMtaachana tu
Hallelujahsasa wewe endelea kusikia tu
Kila mtu achangamke kwa mwenzieKamati ya roho mbaya kazinikwendraaaaa
Amen mtumishi wa bwanaHallelujah
Waziri na makamu wake