Mjinga sana
Manesi wa hivyo mimi huwa nawapenda sana.
MUNGU naye anaangalia ndiyo maana hakumpa kuwa daktari mtu mwenye roho ya kishetani namna hiyo
MUNGU anatumia matabibu katika kupitisha uponyaji..km mtu ana element za kishetani namna hiyo basi hiyo kazi haimfai.