Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani we acha tu.
Haulizi hali ya mgonjwa wala nini...anaingia anatoa dozi anasepa!


Ila walau kweli huduma anaitoa
Mjinga sana
Manesi wa hivyo mimi huwa nawapenda sana.
MUNGU naye anaangalia ndiyo maana hakumpa kuwa daktari mtu mwenye roho ya kishetani namna hiyo


MUNGU anatumia matabibu katika kupitisha uponyaji..km mtu ana element za kishetani namna hiyo basi hiyo kazi haimfai.
 
Kweli kabisa! Kuna wengi wameenda kwenye unesi ilimradi tu yani ila hawapo huko kiwito kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…