Sijawahinkuona mwanaume mzuri kwa kweli.Teh mie siwezi kuwa na Mwanaume aliyenizidi uzuri kwa kweli
Hata mimi nimemmiss sanaNimemiss baba huyu aisee
I know..linaanza na SYaani hayo yote ni kweli kabisa
Nimekosa kimoja tu! "Ubunifu"
Jina langu linaanza na herufi "S"..
Nadhani haka kamchezo kana ukweli ndani yake.

Sa Rey anauzuri ganiHuyu hapa
View attachment 1666798
Mmmmh









We unamuona mbaya?Sa Rey anauzuri gani
Hivi ni Yusuf ndio alikimbia utamu wa mke wa mfalme? Yusuf wa leo yuko wapi
Hilo mbona sina wasiwasi..
Yaani nikikuona namuona Yusuph wa agano la kale
Na vile nakupenda Sasa![]()




Kwa jinsi mieleka ilivyo mwili wake lazima utakua mgumu, kwa hio automatic hana uzuri tenaWe unamuona mbaya?
Nakupenda zaidi
Hilo mbona sina wasiwasi..
Yaani nikikuona namuona Yusuph wa agano la kale
Na vile nakupenda Sasa![]()

Yah ni Yusuph alimkimbia mke wa PotiphahHivi ni Yusuf ndio alikimbia utamu wa mke wa mfalme? Yusuf wa leo yuko wapi![]()




Mchumba wangu








Ukisoma historia ya Ibrahim vzr you can guess mi ni nani...Mchumba wangu![]()






Sura yake Ni fireeeKwa jinsi mieleka ilivyo mwili wake lazima utakua mgumu, kwa hio automatic hana uzuri tena

Isaac??? Au??