Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Mchumba watu wanataka wakuone

Mchumba watu wanataka wakuone

Mdogo wangu karma na mjomba Eli
Wataniona siku ya mahari Mchumba!..very soon!Mdogo wangu karma na mjomba Eli
Usiwe mwingi wa hasira shem, nilikuwa najaribu kufikiria utakuwa timu gani ghafla nikaangukia Man United.
Natoka kucheki mechi hapa ni kama tumeshinda 4 bila aloo dah!![]()









Nilijua tu utasema hivi




Wewe cheka tu shem ake, kicheko kina faida nyingi



.Shukrani ShemWewe cheka tu shem ake, kicheko kina faida nyingi.
Heri ya j'pili kwako pia...
nkamu night night......unishtue ubungo hapa
Naomba lift nkamu gwangu
mkuu sema juu hapo ndio panaharibu picha kabisa siunajua sura zetu hahaPicha za kuchukulia point 3 mahali hizi![]()
HahahaNkamu mimi mwenyewe nimepewa lift ujue
Dahh
Daddy kusema ukweli hata mimi huyu mtakatifu nimeanza kuwa na mashaka naye aisee






Hahahhaamkuu sema juu hapo ndio panaharibu picha kabisa siunajua sura zetu haha