geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,235
hahahahahahahaa nkamu ulisimama imara sana......kuna jamaaa mlibishana weee sijui ukamuita dogo mada ikahama akamaind kwann umemuita dogoHiyo sikuiona[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa Kihombo aliingiaje tena wakati alikuwa ameshakufa??
Kuna jamaa mwenye avatar ya nyerere jamaa anaponda ukisoma comments zake unaweza zimia kwa kicheko[emoji119][emoji23]