geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,227
hahahahahahahaa nkamu ulisimama imara sana......kuna jamaaa mlibishana weee sijui ukamuita dogo mada ikahama akamaind kwann umemuita dogoHiyo sikuiona
Sasa Kihombo aliingiaje tena wakati alikuwa ameshakufa??
Kuna jamaa mwenye avatar ya nyerere jamaa anaponda ukisoma comments zake unaweza zimia kwa kicheko![]()









