Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hiyo sikuiona
Sasa Kihombo aliingiaje tena wakati alikuwa ameshakufa??
Kuna jamaa mwenye avatar ya nyerere jamaa anaponda ukisoma comments zake unaweza zimia kwa kicheko
hahahahahahahaa nkamu ulisimama imara sana......kuna jamaaa mlibishana weee sijui ukamuita dogo mada ikahama akamaind kwann umemuita dogo
 
hahahahahahahaa nkamu ulisimama imara sana......kuna jamaaa mlibishana weee sijui ukamuita dogo mada ikahama akamaind kwann umemuita dogo
Ana matatizo yule
Na nilipania kukachamba kwelikweli bahati kaliwahi kuondoka maana ningekashangaza ile siku.
Eti badala tumdiskasi Kihombo akaanza kujishaua eti mm sio ndugu yake na kiingereza chake kibovu vile kama barabara ya makambako-mbeya ilivyo na viraka,na hapo Ni baada ya kumwambia naye ajaribu kukariri afu apate kama jamaa ili tujue kweli jamaa alikuwa wa Kawaida... yaani utadhani kuna sehemu nilimwambia nataka undugu naye,awe ndugu yangu aringe
 
Off to Dar
Kiwira
IMG_1583.jpg
 
Back
Top Bottom