Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naomba nichukue fursa hii adhimu kuanza kuwatakia heri ya mwaka mpya
Rafiki yangu kipenzi mtu chake 😘😘..nakupenda
My daddy SHIMBA YA BUYENZE (Sijui umepotelea wapi Daddy.
Mjep my friend you’re missed
Kivuruge wangu jirani Iceberg9
Mtakatifu Saint Anne
Kipenzi cocastic
My sister yna2
Best furend Karma
Jirani yangu joshydama
Na wengine woooooote... nianze kuwatakia heri ya mwaka mpya..yawezekana baade tusionane.
View attachment 1663920
Guys 🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
Na kwako pia mdogo wangu nakupenda 😍😍😘😘😘
 
Napenda kuwatakia Kheri ya mwaka mpya,
@Depal , rafiki na ndugu angu wa faida,
emoji3590.png
emoji3590.png
Happy new year dia, have a prosperous one! Lots of love darling Coca 😘
 
Napenda kuwatakia Kheri ya mwaka mpya,
Depal, rafiki na ndugu angu wa faida,

Chakorii , kipendhiiiii na ni zaidi ya kila kitu kwangu.

Saint Anne , mtakatifu, na mshauri wangu, ni zaidi ya mlezi.

mtu chake , daddie ake mimi, naomba unisamehe km nimekukosea, unavonichunia naumia moyo kid ako.

@Zoë , huyu ni mommy angu, ila amepotea San sijui yuko wapi nime mmiss moah.

Culture Me, babeeh ake mie, vile unajua nakupendaga.

moj6 , Ex nimekumiss moaah, nisamehe bado nakupenda.

yna2 , ni cc angu wa damu, unajua mdogo ako najivunia kua na dada km wee

Karma , ni 1 kat ya watu ninao wa admire San humu, love u.

Heaven Sent , wewe ni kiongozi wa mafunzo ya maisha kwangu, nakupenda sana.

amu , shangazi angu wa ukweli, nimeku miss San.

Lizzy, ni rafiki angu wa faida.

Na wengine wote, nawatakia kheri, baraka, fanaka tele.

Love urs moaah.
View attachment 1664296
Ahsante mdogo wangu..wajua vile nakupendaga eeh...uwe na furaha siku zote Dada ako nipo hapa kwa ajili yako😍😍😘😘
 
Happy new year, to all of you, ilikuwa ni furaha sana kukutana na nyie wote na kubadilishana mawazo, vi furaha na vi chuki vya hapa na pale, maisha yanaenda, kama kuna niliyemkera, kwa kweli ntahakikisha nnamkera zaidi 2021, kama mwaka unavyoongezeka kila kitu kwangu kitaongezeka, love, hate, kutoa, kupokea, mazoezi, kula, kunywa, kila kitu for sure, itakuwa balaa zaidi...no way i'm backing down, its all love wazee wa selfie
Happy New year too.
Ukafanikiwe zaidi na zaidi,Moyo huo was kuinua wengine ukazidi maradufu na Mungu akukumbuke katika yote.
 
Napenda kuwatakia Kheri ya mwaka mpya,
Depal, rafiki na ndugu angu wa faida,

Chakorii , kipendhiiiii na ni zaidi ya kila kitu kwangu.

Saint Anne , mtakatifu, na mshauri wangu, ni zaidi ya mlezi.

mtu chake , daddie ake mimi, naomba unisamehe km nimekukosea, unavonichunia naumia moyo kid ako.

@Zoë , huyu ni mommy angu, ila amepotea San sijui yuko wapi nime mmiss moah.

Culture Me, babeeh ake mie, vile unajua nakupendaga.

moj6 , Ex nimekumiss moaah, nisamehe bado nakupenda.

yna2 , ni cc angu wa damu, unajua mdogo ako najivunia kua na dada km wee

Karma , ni 1 kat ya watu ninao wa admire San humu, love u.

Heaven Sent , wewe ni kiongozi wa mafunzo ya maisha kwangu, nakupenda sana.

amu , shangazi angu wa ukweli, nimeku miss San.

Lizzy, ni rafiki angu wa faida.

Na wengine wote, nawatakia kheri, baraka, fanaka tele.

Love urs moaah.
View attachment 1664296
Ubarikiwe pia..
Kiroho Mwaka huu ukawe wa mabadiliko kwako,Kiu yangu ni kuona Mungu anakutengeneza kwa kadiri ya mapenzi yake kwa ajili ya kazi yake..akaondoe uovu wote na udhaifu,akufanye kiumbe kipya na iwe hivyo.
Mungu akukumbuke taaluma yako na akuvushe.
Mafanikio na baraka viwe juu yako.
 
Huu Ni Mwaka alioufanya Bwana
2021

Heri ya Mwaka mpya kwa kila mmoja

•Bwana akubariki na kukulinda
Ulinzi wa damu yake uende pamoja nawe,akulinde na hila na hatari na magonjwa na ajali..ukawe salama.

•Bwana akuangazie Nuru za uso wake na kukufadhili.
Mwanga wake ukafanye njia juu yako ..ukafungue mafanikio katika uchumi na katika Mambo yote.

•Bwana akuinulie uso wake na kukupa amani.
Amani yake iwe pamoja nawe,katika nyakati zote amani yake itawale moyoni mwako..uso Wake uende pamoja nawe.

Natamka mafanikio na Baraka,
Mwaka huu ukawe wa mafanikio
Ukawe wa ushuhuda,ukawe was neema,ukawe wa kuvuka katika Mambo yote.
Mungu akubariki kazi yako ikazae moja kwa thelathini hadi Mia .
Upendo wetu uzidi kudumu
IMG-20210101-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom