T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,932
- 30,092
Hahaha.......Hapana sitaki kunyonyoa kuku mkuu.Unataka kunyonyoa kuku mkuu
Hahaha.......Hapana sitaki kunyonyoa kuku mkuu.Unataka kunyonyoa kuku mkuu
Ndiyo mkuu wivu huwa unanikolea pale anapochati na wanaume tena hasa anapoitwa baby,mpenzi,mke.Nzuri kabisa mpendwa, kwa hiyo wivu unakukolea akichat na wanaume wengine au?


Mara nyingi content unayojaribu kui access inakuwa iliondolewa either na alie ipost au modskwann mtu huwa anatumiwa ujumbe kama huu
Your too analytical katika hao watatu waliosimama wakike ni yupi?Mh! Hii miguu kwenye picha ya kwanza inaweza kuwa
na upaja wa hivi? December fools' dayView attachment 1662514View attachment 1662516
Hahaa, haya mambo ya ajabu sana. Mtu hata sauti haijui lakini anakuwa na wivu wa kufa mtu. Kumbe huenda unaweza kutengeneza connection na mtu bila hata kumjua, is it possible?



Hahah mkuu hakikisha unanizidi kipato kwanza ndo uje pm ila kama nakuzidi hmn sitaki kuitwa shuga mamy mimilike serious?? ngoja nije mamie



Mwingi sna mkuu vuta subira na ule uvumilivu siku moja tutatuma card za mialiko humu selfikaIla upendo wa agape kwangu unao siyo?

Ohooo kumbeee..safiNimekuona muda jirani nilikua nakulia timing
Kama unasikiaga sitaki nataka ndo mimiAcha hizo basi
Maswali ya UEAt the end of the year View attachment 1663111
wanaselfika wote
yan wewe ndo wa kutudanganya sisiNawachukuliaje tena?
Doooh pozi la kufungia mwaka hili
kwa hiyo umemkana Mkuu
Ooob gosh oky nazitoaAiseee !
Sasa si utoe hizo ndevu Kwenye dp
long distance wivuHahaha na wivu unao kabisa?