Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hahaha....wala nini?Mkuu kumbe unanionea wivu basi mwenzio walaaaaa![]()
Nzuri kabisa mpendwa, kwa hiyo wivu unakukolea akichat na wanaume wengine au?
Hahaa, haya mambo ya ajabu sana. Mtu hata sauti haijui lakini anakuwa na wivu wa kufa mtu. Kumbe huenda unaweza kutengeneza connection na mtu bila hata kumjua, is it possible?Hahaha na wivu unao kabisa?
Nzuri kabisa mpendwa, kwa hiyo wivu unakukolea akichat na wanaume wengine au?


Mmmmmh wee nae lolNimerudi niambie white
Hhahaha nitampa wasiwasi T 1990 ELY wanguToa basi hilo kopa![]()
Sina wivu mkuuHahaha....wala nini?
like serious?? ngoja nije mamieHope mmeelewa, aliye tayri kunifanya niwe wake aibuke pm muda huuView attachment 1663562
Aaaah nioneshe bhana cc.Pole sana![]()
Ila upendo wa agape kwangu unao siyo?Sina wivu mkuu
yaan ukinionea ukinionea mimi wivu aiseee mbona utakonda sana we tulia tu mkuu ukiamin kwamba lina linahbaby ni wako haita kuumiza hyo maan me mwenyewe uwa nimekaa kaa kimaumivu tu
![]()
Very possible hahahaHahaa, haya mambo ya ajabu sana. Mtu hata sauti haijui lakini anakuwa na wivu wa kufa mtu. Kumbe huenda unaweza kutengeneza connection na mtu bila hata kumjua, is it possible?
Hahahahha....kwa huku bora wajue hivyo tu ila kule tukikutana ni full kubebishana tu.Nimeona tu nitapike maan usha waambia watu sisi ni wapenzi watazamaji tu
Aiseee !Hope mmeelewa, aliye tayri kunifanya niwe wake aibuke pm muda huuView attachment 1663562