Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Nashukuru sana Mkuu..Hii moja wapo ya picha bora za huu uzi. Nataka kuwatagi watufulani nimeogopa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru sana Mkuu..Hii moja wapo ya picha bora za huu uzi. Nataka kuwatagi watufulani nimeogopa.
Sio pozi la mapumziko ya mazoezi 😁😁😁Doooh pozi la kufungia mwaka hili
umenikumbusha nitafute pesaChat na pichaView attachment 1663585
Niambie wwe mkuuSio pozi la mapumziko ya mazoezi![]()
Morning MkuuMorning selfika fam![]()
Nimeona tu nitapike maan usha waambia watu sisi ni wapenzi watazamaji tu



kafel sanaSi ndo nimeshakwambia ni pozi la kufungia mazoezi 😆😆Niambie wwe mkuu
Ndiyo mkuu wivu huwa unanikolea pale anapochati na wanaume tena hasa anapoitwa baby,mpenzi,mke.
Halafu unaweza kuta linahbaby ni jamaa fulani hivi mwenye sura ngumu
Natania tu![]()





Ila jamani ilo pepo linalo washika watu wa selfika lishindwe kwa jina la yesu
utatupa mrejesholike serious?? ngoja nije mamie
Polee kwa mazoezi mkuuSi ndo nimeshakwambia ni pozi la kufungia mazoezi![]()
wametupiga ban Mzee hakuna kukesha leoMwaliko wa mkesha wazee![]()
Hii ni hongera mkuu..asante 🧚♀️🧚♀️Polee kwa mazoezi mkuu
Shangaakwa hiyo umemkana Mkuu
Wacha bhana 😆😆😆@Mgirikipanther najitag..
![]()
Acha kabisaa kulala lalaumenikumbusha nitafute pesa

Si ungemkana mwakan aseeShangaa
Hongera mkuu kwa kuchoma yasiyo hitajika mwiliniHii ni hongera mkuu..asante![]()
😅😅😅safiHiyo ni kwa ajili ya kuwa mwana mazoezi...
![]()