Na mfano mwingine halisi ni huyu anayejiita
Heaven Sent uliyemtaja. Kuna wakati huwa natafuta tu baadhi ya comments zake na kuzisoma. There is something special about her (upako, wisdom, akili kubwa, ubinadamu...) na nilipogundua kuwa ni Mnyaki nilishangaa sana.
Wanyaki barikiweni sana kwa kweli