Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siwezi
Yaani Kuna vitu sidhani Kama nitakuja vifanya.
Mojawapo kukaa ukingoni namna hiyo,kuogelea yaani siji kujaribu.
Nothing is particularly hard if you divide it into small jobs
By Henry Ford
Hakuna kitu kigumu ukiwa mzima yan uwe na kila kiungo kizima na ushindwe ni ngumu sanaa
kuna watu wanaa hali ngumu hawana baadhi ya viungo lakin wanafanya maajabu...
 
Nothing is particularly hard if you divide it into small jobs
By Henry Ford
Hakuna kitu kigumu ukiwa mzima yan uwe na kila kiungo kizima na ushindwe ni ngumu sanaa
kuna watu wanaa hali ngumu hawana baadhi ya viungo lakin wanafanya maajabu...
Siku nikiogelea basi itakuwa si kwa hiari yangu (itokee nimepata ajali majini)
 
Back
Top Bottom