cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,287
Woyoooooh ndani ya tenge, tena ni wax original.



Woyoooooh ndani ya tenge, tena ni wax original.



Nakazia aongeze 2 yaan
Ongeza na nyingine
Woooozah!!!!
much appreciate Bro..Ninalo bhasi la kusema mkuu....
Umesema ukweli kabisa ndugu yangu

SiweziYeah ndo Maisha..
Ukiwa mzima kila kitu Nothing is impossible
Hope ukipata muda utaenda panda mlima Mbeya



Si unaona ulivyo na bahati mzee babaHahahaha
Hata wewe sijawahi kukuona ukibebisha mtuKama mimi chama la wana nabebisha kila mtu hapa hmnga ubaguzi
![]()
Kama MimiHata wewe sijawahi kukuona ukibebisha mtu
Kuna watu nikiona wanabebisha kila mtu hata sishangai





😂😂😂😂 Inatosha😜Nakazia aongeze 2 yaan
Daddy usiumie bhana jamaniHuenda dota, huenda asee...unajua moyo kuuma![]()
Nothing is particularly hard if you divide it into small jobsSiwezi
Yaani Kuna vitu sidhani Kama nitakuja vifanya.
Mojawapo kukaa ukingoni namna hiyo,kuogelea yaani siji kujaribu.
Mmmmh hebu tupe na nyingne lov ccInatosha
![]()
😂😂😂😂 Unapendaaa muoneMmmmh hebu tupe na nyingne lov cc
Siku nikiogelea basi itakuwa si kwa hiari yangu (itokee nimepata ajali majini)Nothing is particularly hard if you divide it into small jobs
By Henry Ford
Hakuna kitu kigumu ukiwa mzima yan uwe na kila kiungo kizima na ushindwe ni ngumu sanaa
kuna watu wanaa hali ngumu hawana baadhi ya viungo lakin wanafanya maajabu...
Yesu wangu
Umeanza vituko vyako
Mimi ninavyopenda waterbodies hasa bahari nitasimama tu! Wewe si kaoga ndiyo maana!


Wewe si unaye yule wako mmoja? Nikiona unabebisha mwingine nitashangaa!Kama Mimi![]()
Huu mguuu ni Kama paja langu moja