linahbaby
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,087
- 3,084
Ikawa asubuh ikawa jion maisha yatasonga![]()



Haki ya mungu ata nigeuke nyau saa hv jf siami 

tena kwa huu uzi wallah sitoki lbda nitolewe
Haki ya mungu ata nigeuke nyau saa hv jf siami
tena kwa huu uzi wallah sitoki lbda nitolewe



Kwann umesema hivyo...Nimeisha cheka sana leo yaan mnanipa raha sanaKwann umesema hivyo...

Muongee vizuri muwe kama wanaselfika wa Tuliowasema LeoMmmh hvi kweli me najuaga ni matani tu mkuu![]()
Huenda dota, huenda asee...unajua moyo kuumaSijui hata kafichwa wapi siku hizi
Au ndiyo ushaibiwa tayari



Nimeisha cheka sana leo yaan mnanipa raha sana
Eti ikawa asubuhi ikawa jion maisha yanaendeleea![]()



Kabisa .. maisha lazima yasonge
Yako??Picha
Imefanya niniYako??
Mmmh mkuu sijawahi kuwa serious na mahusiano ya mtandaoni..ya jf uishia jf tu me nikimkubali mtu humu namfata mwenyewe pm wala siwezi jiongelesha hapaMuongee vizuri muwe kama wanaselfika wa Tuliowasema Leo
hatujaionaImefanya nini
sijasema muwe serious..Mmmh mkuu sijawahi kuwa serious na mahusiano ya mtandaoni..ya jf uishia jf tu me nikimkubali mtu humu namfata mwenyewe pm wala siwezi jiongelesha hapa
Sawa mkuu...me@T 1990 ELY uwa tunataniana tusijasema muwe serious..
juc for jokes


wala hamaanishi kweli wasukuma wanaoa wachaga mkuuOoh..najisikia kuona za wenginehatujaiona
Kila kitu kipo vizuri... Inatazamika



ivi wee una nn lakin khaaaah lolAkhsante sana Mgirikipanther kwa kukaziaIla ujue T 1990 ELY yupo serious![]()