Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Nasubiri selfie yakoGod anakuona
Nasubiri selfie yakoGod anakuona
hapo utaweza??View attachment 1663218

Yanini kujihatarisha maisha yangu hivi??Yani sababu kubwa ya kuchungulia huu uzi ni kuona picha yako😍Nasubiri selfie yako
Sasa hapo mbona sioni hata kivuli chako?
MweeeYani sababu kubwa ya kuchungulia huu uzi ni kuona picha yako![]()


Ukizoea ni kawaida sanaa....Yanini kujihatarisha maisha yangu hivi??
Wallah Bora ninyongwe kuliko kukaa hapo..
Mimi ghorofani tu kuegemea pembeni siwezi,sembuse hapo?
Sawa tyuuuh.Kuna uzi ulisema ni Me wewe...
hatujasahau
Huyo mtoto aliye na bi mkubwa ni meSasa hapo mbona sioni hata kivuli chako?

sema kwa faida ya wana uzi huu ungeweka wazi ili tusije vuka mipakaSawa tyuuuh.
WallahUkizoea ni kawaida sanaa....







Kila kitu na mazoea tu kama ukizoea unaona ni KawaidaWallah
Watu mna mchezo na miili yenu aiseee![]()
😂😂 Subiri kidogoMweee
Mimi za siku ile tu uliweka nikapitwa..
Nibariki japo kidogo dada mzuri![]()
Ili iweje kwani,sema kwa faida ya wana uzi huu ungeweka wazi ili tusije vuka mipaka
Naona kitu ya kanda ya katiTonight on lucchese's show.. View attachment 1663227

Tuenende kwa Aman ya BwanaIli iweje kwani,