linahbaby
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,087
- 3,084
Hallo mamyManeno ya busara. Tuko hapa kucheka na kusocialize tu. Don't take things personal and sometimes you have to roll with the punches as if you are Floyd Mayweather japo mtu akizidi sana pia rukhsa kumsuta na kumchana. Ni lazima pia kuwa strong hasa kwa jamii yetu hii yenye dharau kwa wanawake....na kuwa careful kutozoeana na watu kupita kiasi hovyo hovyo. JF ya sasa hii imejaa boys na wengi wao hata hawajui maisha haya yakoje so kuumiza mabinti kwao kawaida tu...
Hela pekee ndo kitu kinanipa amani mimi nakupenda m@mtu chake