Selfika na JF: Snap it. Show it

Hallo mamy
am oky now, japo nilijisikia vbaya sana tu, najua nilistaili kuambia but kutukanwa mbuzi mmmh ilo neno halikunibaliki yaan lilinikera mpk kwenye firigisi kwa maan unaye muita mbuzi kuna watu wanamuona special sana yaan mhimu sana kwa maisha yao but kwa vile tuko hapa hatujuan kila mtu anakuwa anachukulia mwenzie poa ....me nimeseme nimesamehe kbsa mwaka unaisha huu kuna mawili kufa au kuishi inakuje nikifa na kinyongo na mtu itakuwa dhambi eeh
so mtu chake am forgive your ila next time ata kama unataka kumtukana mtu tafuta tusi simple lisilo mkera mtu ili uonekane smart msitarabu lazima busara ziusike but ulicho kifanya wew japo ulijua umenitukan ila uliiweka wazi hruka yako mbali na kujua wewe ni mkimya usiye penda makuu kumbe sivo una vitu vyako nyuma ya pazia ila me nimekusamehe best kbsaaa kutoka moyoni


Hela pekee ndo kitu kinanipa amani mimi nakupenda m@mtu chake
 
Haya mbona yameisha wakuu kila siku tuu haya haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…