Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Mwili wa kuvalia yale Madera nautoa wapi??Kumbe una akili.. Tuma namba yako PM nikutumie hela ukanunue ile jezi ya dela ya wananchi.



Mambo si haba mkuuMkuu naona Mambo ni mazuri....
@Linnahbaby umemuacha wap now


Amna Mkuu me nimeshamkumbuka kumwona JamvinMambo si haba mkuu
Acha uchokozi mkuu![]()
Kwema lakini mkuuAmna Mkuu me nimeshamkumbuka kumwona Jamvin
fanya kumleta
Kwema Mkuuu za tangu jana...Kwema lakini mkuu
Waulize Chelsea
Bora hata Chelsea japo nao ni walewaleWaulize Chelsea
Izo socks au vikuku?Wa kienyejiView attachment 1661533
Walikaa 3 sasaBora hata Chelsea japo nao ni walewale
hahahahaaaaMaisha ya Jf fresh sana.. Eti Id zinagombana?
Mimi kibongo bongo Niko yanga japo ukiniuliza mchezaj simjui hata mmoja


tuko wengi kumbeDuh! Carinho ni icon ya yangatuko wengi kumbe
Walikaa 3 sasa

Niliahidi....View attachment 1661294
Nakuja kipenziRafiki kipenzi mie Niko zangu sehemu napata lunch, Karibu