Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
🙄Duh kumbe mpinzaniMimi shabiki wa Liver
🙄Duh kumbe mpinzaniMimi shabiki wa Liver
🥂We are Egg-Cited 🙂🙂View attachment 1661469
Mkuu naweza utumia kama wallpaper 😍
Duuuh.. Mambo ya wapi haya mkuu??Mwana ukoo mpya nimekaribishwa rasmiView attachment 1661449
Hongera Mkuu
Kada wa Arsenal.. Mna mapenzi na timu hadi inaogopesha😀Niliahidi....View attachment 1661294
Mambo ya kwetu kibosho mkuu!Duuuh.. Mambo ya wapi haya mkuu??
Mapenzi ya makada wa arsenal wangefungwa na chelsea siku ile tusinge waona...Kada wa Arsenal.. Mna mapenzi na timu hadi inaogopesha😀
Am sure hii harusi ilikuwa na bajeti ya kizalendo sana..Hayawi hayawi sasa yamekua,
Mr & Mrs mpareee.
Tumefanikishaaaah.
Shunie , Chakorii , Saint Anne , Depal , Joanah , yna2 linahbaby ,
Naomba zawadi zenu plz. Kwa heshima yenu naomba zwadi nijiskie furaha na amani. View attachment 1661242
As i expected yatakuwa ya wachaga haya...Mambo ya kwetu kibosho mkuu!
Sio kweli hata kidogo, watu kibao wameikimbia toka tuanze kupigwa. Wengine tumeanza muda sana sio rahisi kukimbia.Mapenzi ya makada wa arsenal wangefungwa na chelsea siku ile tusinge waona...
Anyway Kongole nyingi kwa chelsea Maana wamtuludishia makada wa Arsenal kwenye jamvi
Najua unaipenda, basi toka huko machakani uwe red!Arsenal. Jeezy!!![]()
kwenye thread za sokaSio kweli hata kidogo, watu kibao wameikimbia toka tuanze kupigwa. Wengine tumeanza muda sana sio rahisi kukimbia.
hahaha ewaaaa nimeelewa njia toka juu landmark hotel....kwa mbele hapo kuna frem zimejengwa nilipasahauni hii njia inayotokea huku juu CRDB, hapo mbele kushoto kuna Petrol Station halafu ndiyo stand, umeelewa Nkamu?