Yeah mwenyewe niliwaza kumtafuta ila nikaona nisije nikachochea moto zaidi! Maana mtu mwenyewe yule hajatulia akili zake anazijuaga mwenyewe!Huyo mtafutie engo yake kwanza..
Kama unaweza kumfuata mkazungumza itakuwa njia nzuri na ya kibusara lkni pia unaweza ukamwambia pia akalipuka moto.
Hebu mkaushie tu mblock kuruhusu maisha mengine yaendelee usiwe unaona chochote chake.
Haki haipendezi kabisa..
Braza wakimanya kumbe, tunapanua wigo tu hata kiluga tutaruka nao πππnimeelewa hapa!
Yes tena anachofanya mfano wewe unapost picha zako nusu huku anazikariri! Halafu tuseme mimi nina picha zako full ambazo nyingine ulipost huku nusu halafu nikakupost Status akiona anaunganisha dots kuwa huyu ni Chakorii maana hii picha aliwahi ipost kule kwenye kuselfika so anaiiba anafanya yake!Kibao kya ndesi kumbe ndivyo inavyofanyika
Mkuu wewe ni RapchaLastkingof1990View attachment 1656800
Maeneo ya kujiopolea hayo πππ mambo ya mtoto St.Anne
Mweee simu yangu haifungui attachmentMaeneo ya kujiopolea hayomambo ya mtoto St.Anne
Kizuri kweli utakipendaπMweee simu yangu haifungui attachment
Ni kitu gani hicho?
Nakimanya kidogo mnduuBraza wakimanya kumbe, tunapanua wigo tu hata kiluga tutaruka nao
Nilijua peke yangu kumbe tupo wengiMweee simu yangu haifungui attachment
Ni kitu gani hicho?
Kumbe mi sio handisam? Lakini afadhali iwe hivyo
Yes ndiyo nimeambiwa ni kisambaaHakuna kipare hapo dota!
Hahaha hakyanani nimecheka, imebidi nimwangalie yule dota wangu mwingine. Basi ana kazi sio kidogo manake hadi chogo dah!
Baba wewe handsome ila siyo beautiful sasa umenirandisha na mimi nimekuwa handsome badala ya kuwa beautiful
Na mtoto wa kike akishakuwa handsome anakuwa siyo pisi kali tena.
Yeah ni mimi.Mkuu wewe ni Rapcha
Sawa tunasubiri.Ntaweka usiku.
Uvumilivu ulikushinda kibonge mwenzanguAkipita ataona sababu anajijua kama anasoma kimyakimya au anafanyaje ujumbe ushamfikia popote alipo
Tena mimi ndio aniache kabisa anavyotafuta picha yangu aendelee hivyo hivyo
Akili yangu naijua nikishapiga heinekenn zangu nakuja kuweka thread na kumtaja juu
Unamjua vizuri ingawa humjui ndiye yeye..ila unacheka nae sana jukwaani...be carefulHii ni mbaya sana..hivi ni Kwanini asilipuliwe humu ndani ili hii tabia ikome??pengine labda kuna watu huko picha zao zines ambazo a na hawajijui..
Labda yaweza kusaidia akaacha huu upumbavu wake
Hii ni mbaya sana..hivi ni Kwanini asilipuliwe humu ndani ili hii tabia ikome??pengine labda kuna watu huko picha zao zines ambazo a na hawajijui..
Labda yaweza kusaidia akaacha huu upumbavu wake
Kazingua sana.Mie nilitamani nimuanzishie uzi! Ila nikaambiwa nimuache ndiyo anaweza akazileta jukwaani kabisa kwa hasira!
Ila tu niliambiwa nimfuate privately nimuambie kwanini anafanya hivyo na aache hiyo tabia maana tangu haya mambo yatokee sikutaka kumuambia chochote! Nilifuta tu namba zake ili aache kuona status zangu na wala hatuwasiliani tena tumebaki tunachekeana kinafiki tu humu JF japo mie unafiki siwezagi!
πππZawadi yako ya birthday hiyo mama mchungaji
Habari ziwafikie wale wanaohangaika kutafuta picha yangu unataka picha yangu niombe mwenyewe sio kuhangaika kuomba omba picha yanguView attachment 1656723
πππππ Woooiiiiiiii!!!!!...anasoma kimya kimyaUsijali mama mchungaji wangu nitakupeleka chimbo bei rahisi mno nywele ya laki 3 wengine wanauza laki 6 zipo kuanzia mpaka elf 50
Eenh anatafuta picha zangu anione shunie nafananaje jamani mtu mwenyewe na sura ya baba angu halafu mwanamke mwenzangu huyo apate picha yangu ili aisambaze vizuri
Njo pm niombe mwenyewe nakutumia jamani kwani picha nini hata kama nafanana na baba angu nakutumia tu