Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha baba paroko akipata picha ya mtu ni kusambaza unamjua flani ndio huyu inahusu nini utoto tu
 
Hizo hizo tunajenga wote baba paroko

Hatuna urembo wowote basi tu kuna mjinga mmoja akipata picha zetu wadada anasambaza si ujinga huo halafu mwanamke mwenzetu unasambaza unaoata faida gani au kuna mtu anakulipa
aiseee
Humu ndani unaweza shangaa tu watu wanafile lako la story tena za uongo,wanajazana tu huko.
Mtu Kama anataka kujua kitu toka kwako ni Bora akakufuata mwenyewe akakuuliza.
Na watu walivyo wajinga Sasa,hawakufuati muhusika kukuuliza,Wanaenda kuuliza sehemu nyingine na kujazana stories za uongo na wanakuja kuconclude humu Kama wanayajua maisha yako yote.
 
Inasikitisha sana ndio jf yetu hii mtu anajifanya akujue akuzoee kumbe anachota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…