Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizo hizo tunajenga wote baba paroko

Hatuna urembo wowote basi tu kuna mjinga mmoja akipata picha zetu wadada anasambaza si ujinga huo halafu mwanamke mwenzetu unasambaza unaoata faida gani au kuna mtu anakulipa
 
Hizo hizo tunajenga wote baba paroko

Hatuna urembo wowote basi tu kuna mjinga mmoja akipata picha zetu wadada anasambaza si ujinga huo halafu mwanamke mwenzetu unasambaza unaoata faida gani au kuna mtu anakulipa
Hivi kumbe ni kweli nilijua unatania, mtu anakuomba picha halafu bila ruhusa yako anampatia mtu mwingine picha zako mbona ni ujinga sana, maana utampa mtu picha yako kwa kumuamini halafu unakuja kuaikia mtu mwingine anayo ni ujinga sana, na ni tabia ya kipuuzi, sema jaribu kuwapa picha watu you can trust, wamaofanya hivyo ni ulimbukeni sana, hata mimi sijapenda hilo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…