Karibuuu 🙂🙂Mie huku mate yanachuruzika tyuuuh.![]()
Hatareeeeeh sanaaah
Nakuja dea,Karibuuu![]()
Miss you 😘Mic u moaaah,![]()
Unaboard deluxe mkuu ??Family time, moshi see you soonView attachment 1652584
Mbna unakua adimu iv lol, miss San u chibongeeh.Miss you![]()
Haya mremboSio kwamba sitakuwepo..hapana nitakuwepo lakni nitakuwa napita kimya kimya kama Alivyo awali.nikiguswa sana na mada nitachangia kidogo.
Bado tuko pamoja sanaaa..
JF siezi hama Chief



Bado nilizipata ila sijapata muda kuzifungua, unarudi lini halafu uje kupata mbuzi na kondoo chomaBro kwema. Ulifanikisha mzee?
Nipo kwenye harakati bro, mipango ikikaa sawa ASAP nitakuwa pande hizo. Hapo kwenye mbuzi choma ndio sitaki kupakosa kabisa.Bado nilizipata ila sijapata muda kuzifungua, unarudi lini halafu uje kupata mbuzi na kondoo choma
Lizy kumbe chura ipo ehh yes mambo mazuri hayo


,Sio kwamba sitakuwepo..hapana nitakuwepo lakni nitakuwa napita kimya kimya kama Alivyo awali.nikiguswa sana na mada nitachangia kidogo.
Bado tuko pamoja sanaaa..
JF siezi hama Chief




Thubutuuuuu...niwakimbie nimerogwa..haiwezi kutokea mamaaa
Kwahiyo ndio unatukimbia
Kwanini nini kimetokeaThubutuuuuu...niwakimbie nimerogwa..haiwezi kutokea mamaaa
Nani anamfukuza jiran yangu
Kwahiyo ndio unatukimbia
Ooh hapo sawaThubutuuuuu...niwakimbie nimerogwa..haiwezi kutokea mamaaa
Soma ile comment yakeNani anamfukuza jiran yangu
Okey nimekuelewaSoma ile comment yake
Design kama anatuaga hivi
Something Special