Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Nilitaka kusema kitu hapa..Najifunza kunyamaza..enjoy mkuu!
Nilitaka kusema kitu hapa..Najifunza kunyamaza..enjoy mkuu!
SawaDea hapan bhanaah, mara 1 nakuwa mwajuma ndala ndefu, afu narud ktk hali ya gracious.![]()
Sema shem, huenda nimekosea mahali. Hata kwa kuninong'onezaNilitaka kusema kitu hapa..Najifunza kunyamaza

Sijui hata kimetoka wapi shemHichi Kiingereza Shem????

, nimekaa hapa na vitu vikali huenda ndio vimepelekea kuandika hivi
Hujakosea Shem. Wewe ni mtu mwenye busara sana. Ni vile hiyo jamii siyo.. Wanaongea sisi tuna afadhali..Sema shem, huenda nimekosea mahali. Hata kwa kuninong'oneza![]()
Karibu sana brother, karibu na beer piaHabarini wana selfika ...Nawasalimu katika jina la Kristo Yesu aliye hai..niliwamiss wote..nilikuwa likizo sasa narejea muda si mfupi
Sijui hata kimetoka wapi shem, nimekaa hapa na vitu vikali huenda ndio vimepelekea kuandika hivi
![]()





Huyo mpare akiona unavoongea hapa kufumba na kufumbua unachezea cha mbavu..





nimecheka hadi mbavu znauma lol, uwezo huo wa kunipa cha mbavu autoe wapi?Nlitak niseme kitu ila bas.................Hujakosea Shem. Wewe ni mtu mwenye busara sana. Ni vile hiyo jamii siyo.. Wanaongea sisi tuna afadhali..