Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mdogo wangu ulikula nini ulivyokuwa wayaandika haya???maana nacheka hapa hatari
cc wallah mapenzi yananipa uchizi, c unajua nimejitunza wee saiv ukubwan ndo najua kua kumbe kuna kitu ki1 adimu San, lol
Mapenzi yamenkolea, na mpare anajua kukoleza haswaaaah,
 
Dada jomoneeeh, mwenzio naolewa mlimani huko upareni kwa matajiri.
Uwiiiiiiiiiiiiih na navopenda chapaaah, haaaah dodoh limemkuta mtumiaji.
Wachaaaa... hongera mdogo wangu na ikawe kheri... Dada mbeba mizigo yetu ile ya kwetu nipo..shem aandae mihela ya kukukomboa tu hapo😂😂
 
cc wallah mapenzi yananipa uchizi, c unajua nimejitunza wee saiv ukubwan ndo najua kua kumbe kuna kitu ki1 adimu San, lol
Mapenzi yamenkolea, na mpare anajua kukoleza haswaaaah,
Nina furaha kwa ajili yako mdogo wangu..kweli umependwa na ukapendeka.. hongereni Sana..mpendane na mvumiliane..kila la kheri 😍😍
 
Wachaaaa... hongera mdogo wangu na ikawe kheri... Dada mbeba mizigo yetu ile ya kwetu nipo..shem aandae mihela ya kukukomboa tu hapo
Hapo chacha, hela ya kibani (kishika uchumba) unakula wewe hapo dada mlezi, hebu panga kabisaa matumiz ya pesa hizo, maan huyu shem ako hana masikhara ktk kumchukua mkewe (cocastic).
 
Nina furaha kwa ajili yako mdogo wangu..kweli umependwa na ukapendeka.. hongereni Sana..mpendane na mvumiliane..kila la kheri
Haswaaah ndio nguvu ya mapenzi ya dhati na bora, na baraka zako zimepokelewa kwa mikono miwili,
Utakua msindikizaji wa make kumpeleka kwa mumewe, jiandae kwa safari. Uwiiiiiiiiiiiii
 
Ma Oasis,



FB_IMG_16081385772796231_1608138655217.jpg
 
Back
Top Bottom