T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,093
Gud
😅Chati na picha wapendwa
My wiii u hali gani
KabisaaSafati juu ya safari
Hongera mdogo angu, upo vizuri kwa kweli. Ile ya pili niliielewa sana, kama vipi naomba tu unitumie PM
yaani nazidi kukonda we unanipa hongera?

nimeona aibu Sana.

Safi
Za siku njema/salama kabisa mpendwaSafi
Za siku
Hizo picha zimenipita aisee. Nasikia zilikuwa moto balaa. Sijui nitazipataje. Unaweza kunitumia?yaani nazidi kukonda we unanipa hongera?
Nimezifutanimeona aibu Sana.
Naomba yako pm tafadhali![]()







Ndo mana ndoa nyingi siku hizi zinavunjika kwakwuwa watu wanafunga ndoa na maumbo
Kama kuna unaemjua huko anataka kutangaza uchumba kipande hii kwa kingetokea cha umbo,,mwambie hapana nashukuru
Jirani yangu usiwe na papara baba wali ni lazima ule afe beki afe kipa.
Kudadeki umenichekesha sanaMy wiii u hali gani
unamuuzia mbuzi kwenye gunia, halafu nyie mnafanana kama id moja hiviShimboni mwanangu hajambo![]()
![]()
unamuuzia mbuzi kwenye gunia, halafu nyie mnafanana kama id moja hivi
Aibu ya nini sasa jamani? Mimi natamani unenepe nenepe kidogo, sio kwa hips don't lie lile na kiuno nyigu doooooh. Yangu napost hapa hapa soooooonyaani nazidi kukonda we unanipa hongera?
Nimezifutanimeona aibu Sana.
Naomba yako pm tafadhali![]()
Hapa hapa sooooon na mimi nasubiria kuona/kukuonaAibu ya nini sasa jamani? Mimi natamani unenepe nenepe kidogo, sio kwa hips don't lie lile na kiuno nyigu doooooh. Yangu napost hapa hapa soooooon