Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
SanaLager huwa inanoga sana safarini
Safari is my favorite beer
SanaLager huwa inanoga sana safarini
Hapana, ana mwenyewe huyoo
HahahahaKuna ujumbe gani umeuona rafiki yangu.hebu niambie huo ujumbe kama n kweli nitakujibu kuwa ni kweli
Weee usiniambie 🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂Uko vzr Rafiki kipenzi
Naomba ile Karatasi ya rangi nyekundu Lizzy
Nataka nifungie mandazi🤪🤪Ya nini sasa??? Mie nshazitupa 😏😁😁
We nae si umeona mimi nimeiomba 😅😅
Jirani unatoa siri nitakuzibua
Unajua kuna watu hawa kuiona ile sasa unawafungua masikio ujue
Kuna mtu anataka kuniiba kwa mbali..inakuja inakata inakuja inakat![]()
Ah imenipokonyoka nisamehe jiraniUsiniache mtoto mzuriKaribu niko nakusubiri
T shirt na jeans 👖 umependeza inaonekana.una vidole vizuri loh
Wewe umeomba karatasi ya rangi nyekunduWe nae si umeona mimi nimeiomba![]()
Oohh hapana dada![]()

Sijakusahau eti,
Bro mbona unanisemea



unagonga vitu heavy weight, napata imagination tu ukipiga hivyo vitu na ukawa una ride farasi ni harari sana weka mbali....T shirt na jeansumependeza inaonekana.una vidole vizuri loh