Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,682
- 51,001
Tuma na yako basiWewe ndo Karma mwenyewe..View attachment 1639786
Tuma na yako basiWewe ndo Karma mwenyewe..View attachment 1639786
Mlevi mwenzangu hujamboUniletee pombe ya kienyeji huko mlimba
Lager huwa inanoga sana safarini
Sema karma we bishoo sana



Sijamboo ,shikamooHujambo
Nimeona hips ndani ya gauni la chama Ameeeeen.
Kuutafakari kivipi ,Rafiki yangu kipenzi Chakorii ,niambie umetafakari nnNimejaribu kuutafakari mwandiko wako Rafik yangu kipenzi![]()
Sema karma we bishoo sana![]()
Tambi,mkate,soseji na yai duhhhh.
Kudadeki
Mmmh, ungenitag pekee yangu ,ningevimbaje humu
Yaliyomo yamo kudadeki,je ukivaa vile vigauni vyako vifupi ni hatari sana, hivi jirani hujaibwa bado haiwezekani eti
Hahahaha, ahsante, natumai namba yangu ya mtn au orange unayoNitakupigia nikwambie nini natafakari rafiki kipenzi
Umetikisa ubongo wangu
Naomba ile Karatasi ya rangi nyekundu Lizzy
Ninayo ya papai rafiki yangu😅😅Hahahaha, ahsante, natumai namba yangu ya mtn au orange unayo