Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,244
- 90,420
HahahahaNinayo ya papai rafiki yangu![]()
HahahahaNinayo ya papai rafiki yangu![]()
Wacha bhana😅😅Umetikisa ubongo wangu
Nini tena babaKudadeki
Siku nyingine nitakutag peke yako sawa ee...Mmmh, ungenitag pekee yangu ,ningevimbaje humu
Uliyoyafanya unadhani mazuri ? Picha imebidi niisaveNini tena baba
Hahahaha, usijariSiku nyingine nitakutag peke yako sawa ee...
Uko vzr Rafiki kipenziWacha bhana![]()
Jirani unatoa siri nitakuzibua🤪🤪Yaliyomo yamo kudadeki,je ukivaa vile vigauni vyako vifupi ni hatari sana, hivi jirani hujaibwa bado haiwezekani eti
Mmmh, hapa kuna ujumbe hapaJirani unatoa siri nitakuzibua
Unajua kuna watu hawa kuiona ile sasa unawafungua masikio ujue
Kuna mtu anataka kuniiba kwa mbali..inakuja inakata inakuja inakat![]()
Karibu niko nakusubiriNisubiri nami twende wote
😅😅😅poye rafiki yangu kipenzi sirudii tena siku nyingineUliyoyafanya unadhani mazuri ? Picha imebidi niisave
Kuna ujumbe gani umeuona rafiki yangu.hebu niambie huo ujumbe kama n kweli nitakujibu kuwa ni kweliMmmh, hapa kuna ujumbe hapa