Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Aise kweli kua makini na unayemuambia ni mbaya..
Yeahhh....pametengenezwa vizuri sana!!
AmenHolly scripture from our Evening Mass..
Lakini fahamuni neno hili; kama mwenye nyumba angaliijua ile zamu mwivi atakayokuja, angalikesha, wala asingaliiacha nyumba yake kuvunjwa.
44 Kwa sababu hiyo ninyi nanyi jiwekeni tayari; kwa kuwa katika saa msiyodhani Mwana wa Adamu yuaja.Mtumwa Mwaminifu au asiye Mwaminifu
kumbe bado ulikuwa hujakufa tu...kufa na utamu wako mkuu hakuna mtu atalalamikaJumatatu yangu imeenda poa/salama kabisa japo naendelea kufa na utamu wangu kama muwa.
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Kafungasha nini...
Teh Espy Mungu anakuonaView attachment 1638592





Naomba namba za Amina, kuna jambo nataka nimuulize.Amina kaamua kufungasha haswa
Ni heri kusikia hiviHabari ya kwangu njema/salama kabisa
Familia ipo salama kabisa mkuu
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app







???? Still plain at here
Tuma kwanza muamala