Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
😅😅😅😅😅😅yani mchaga na pesa!!ni balaa mnambinu sana jaman kha..fanya fanya basi huko utangaze hiyo ndoa tupige fweza mwananguWewe inayoluhusu ni sendoff harusi ni yabwana harusi..nikikuoa mimi tunaanzisha zote mbili, unawapiga kwenye sendoff mimi nawapiga kwenye harusii..
Hapa nina card 9 za michango aisee sijui namalizana nazo vipi









