Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Si una roho mbaya hutaki kukaribisha hata mumeo[emoji23] nilikuwa hapo GST nimeshaondoka zangu narudi kwetu.
Sasa hapo mwenye roho mbaya kati yangu na wewe nani[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Umekuja kimya kimya ila kuondoka ndio unaniambia.
Adhabu yako naanza ile kitu mara moja kwa mwaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siogopi mzee baba, linahbaby ni binamu yangu, huo ndiyo ukweli binamu kabisa hapa namlinda asikutane na fisi kama wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi kijana mstaarabu sana nikaribisheni kwenye familia kwa roho moja...
Ila kama familia yenu sio yawanywaji niambieni mapemaa nikae pembeni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi kijana mstaarabu sana nikaribisheni kwenye familia kwa roho moja...
Ila kama familia yenu sio yawanywaji niambieni mapemaa nikae pembeni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Unakunywa pombe gani sisi hatunywi k vant,banana, eagle wala konyagi sisi ukija kujitambulisha beba whisk [emoji1634]
 
Back
Top Bottom