linahbaby
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,087
- 3,084
Hahaa iphone 12 bhnaUtapata iphone macho matatu sasa hivi, jitume tu![]()


Hahaa iphone 12 bhnaUtapata iphone macho matatu sasa hivi, jitume tu![]()


![]()
![]()
Usijali

Hofu kwangu ondoa, nipo fiti my love kama kawa, naparangana na hii life, usiwe kimya sana nawe, unapoteaga nawe
Hii kapo tuirasimishe rasmi au tusubiri kwanza ichanganye??Miss u more darlin me niko frsh hofu kwako tu
Si una roho mbaya hutaki kukaribisha hata mumeo
nilikuwa hapo GST nimeshaondoka zangu narudi kwetu.Mtu na binamu yake hapo mkuuHii kapo tuirasimishe rasmi au tusubiri kwanza ichanganye??



,Unapenda wanaume weupe?Pichi blaki
Haahaha au unaogopa yale ya msuhubateMtu na binamu yake hapo mkuu,



Sasa hapo mwenye roho mbaya kati yangu na wewe naniSi una roho mbaya hutaki kukaribisha hata mumeonilikuwa hapo GST nimeshaondoka zangu narudi kwetu.



Siogopi mzee baba, linahbaby ni binamu yangu, huo ndiyo ukweli binamu kabisa hapa namlinda asikutane na fisi kama weweHaahaha au unaogopa yale ya msuhubate![]()





Mimi kijana mstaarabu sana nikaribisheni kwenye familia kwa roho moja...Siogopi mzee baba, linahbaby ni binamu yangu, huo ndiyo ukweli binamu kabisa hapa namlinda asikutane na fisi kama wewe![]()



Mimi kijana mstaarabu sana nikaribisheni kwenye familia kwa roho moja...
Ila kama familia yenu sio yawanywaji niambieni mapemaa nikae pembeni![]()
Unakunywa pombe gani sisi hatunywi k vant,banana, eagle wala konyagi sisi ukija kujitambulisha beba whisk 
#SuperLateLunch #Morogoro
View attachment 1637675

Sasa hapo mwenye roho mbaya kati yangu na wewe nani
Umekuja kimya kimya ila kuondoka ndio unaniambia.
Adhabu yako naanza ile kitu mara moja kwa mwaka.
Sent using Jamii Forums mobile app




Nimejaribu kurudia kusoma mara mbili mbili nielewe nimeshindwa.. ameeleza nini kwani Mdogo wangu?
Sent using Jamii Forums mobile app



Sijui kwanini mimi siwezi kula zaidi ya kipande kimoja, inakifu haraka sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikahisi labda mimi tu wa Tukuyu ndiyo nina hilo tatizo; zinawahi kunikifu



