Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Eeeh maana kule Tukuyu kwetu ndani ni adimu sana, so nikahisi labda ni kaushamba kananisumbua
Basi tutakuwa washamba woteEeeh maana kule Tukuyu kwetu ndani ni adimu sana, so nikahisi labda ni kaushamba kananisumbua



Yani mnachagua pombee??![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Unakunywa pombe gani sisi hatunywi k vant,banana, eagle wala konyagi sisi ukija kujitambulisha beba whisk
![]()



🤣🤣🤣📌Kikubwa kuyumbaa![]()
![]()
![]()
Dah 😩😂
Ahahahaha! Let's meet this coming weekend.
Hahaha sasa mbona mi nilishaondoka Dodoma tena mkuuAhahahaha! Let's meet this coming weekend.
Watu wa Dodoma tujuane au unasemaje?
Marahabaaa nkamu gwangu! Ulipo?Shikamoo nkamu
Marahabaaa nkamu gwangu! Ulipo?
Nilipoo nkamu: eti hupendi wanaume weupe kama @Espy









😆Katika weupe wala weusi sipo! Nipogo nipogo tuuuu. Nimeshangaa tu kuwa hupendi macheupe![]()
Na wewe ni mweupe? Halafu nani huyo anakuficha?
Ukiwa mgeni jf unaweza kufikiri hapo imetumwa picha ya msosiiView attachment 1638446
Wanasemaga sijui late kitu gani gani hukooo...Ehee hiyo hiyo



Heheeheheheiya. Haya feel secure mama




Hebu nibariki na kaselfie son.Ukiwa mgeni jf unaweza kufikiri hapo imetumwa picha ya msosii![]()
We si umeoa wewe..hayo macho mengine unayatolea wapi MangiUkiwa mgeni jf unaweza kufikiri hapo imetumwa picha ya msosii![]()
Paja la Taifa!View attachment 1638446
Wanasemaga sijui late kitu gani gani hukooo...Ehee hiyo hiyo